Ukimya wa Tanzania na JWTZ Kule Congo DRC si wa Kawaida – Kuna Kitu Kinachezwa?

Good
 
Kweli kabisa, enzi za sifa za kijinga zimeisha.
Sasa hivi ni nipe nikupe.
Twende vitani kwa maslahi ya nchi kiuchumi na siyo vinginevyo
 
Akuna wa kitu kama icho mkuu.
 
CONGO INATIA HURUMA MNO.

TUSIACHE KUWAOMBE NDUGU ZETU HAWANA HATIA.

RASLIMALI ZINAWATESA WAKONGOMANI KIASI HIKI.
WAZUNGU NI WATU WABAYA SANA.
 

Nimemsikiliza Kagame kile alichokizungumza kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi wa EAC. Nimemsikiliza pia alichoongea na waandishi wa Habari. Sasa nimemuelewa Kagame na I am with him.

Halafu kama hii issue itakuwa inaongelewa kwenye mikutano miwili basi badala ya kuisuluhisha ndiyo waitaiongeza. Hii issue inatakiwa EAC waibebe na SADC ikae pembeni.
 
Pole kwa kuwa na UONI MFUPI MNO.....
 
Ndhani bwana GEORGE MKUCHIKA atakuwa anajua kila kitu
 
Niliwaambia kaane mkao mnzuri kuanzia leo jioni mambo yanaanza kuchangamka..
Maazimio ni kwamba hakuna mwanachama wa SADC atavamiwa na wanachama wenzake wakae kimya lazima majibu yarudishwe kwa nguvu ta 5G na kutoa onyo kali..
Dharau za PK kwa Ramaphosa zitamgharimu sana.
 
Itakuwa jambo jema huyu Kagame ameleta dharau sana Sasa APIGWE
 
KWENYE HII DUNIA NI AIDHA UPIGE AU UPIGWE. KUWA NEUTRAL NI UFALA!!!

📌SOMEONES AMEJISAHAU SASA NI MUDA WA KUMKUMBUSHA KUWA NA MIPAKA!!!
 
Speaking of waziri wa Ulinzi na ile Darubini Dah ni Ametuaibisha sana kwa kweli hii nchi inafaa kuingia The Guinness Book of Records kwa kuongozwa na Mazwazwa kwenye sekta tofauti tofauti
 
Kagame na jeshi lake la m23 wako vizuri kwenye medani na zana za kisasa za kivita kuliko nchi zote za maziwa makuu.

Habari za sijiu nduli Amini alishikishwa adabu hizo ni zilipendwa.
Amewahi kuivamia nchi gani zaidi ya jeshi dhaifu la DRC?
 
KWENYE HII DUNIA NI AIDHA UPIGE AU UPIGWE. KUWA NEUTRAL NI UFALA!!!

📌SOMEONES AMEJISAHAU SASA NI MUDA WA KUMKUMBUSHA KUWA NA MIPAKA!!!
Wacha waadabishane huko wenyewe kwa wenyewe sisi tuendelee kuwa wavumilivu ila ikitubidi kufanya hivyo tutafanya, now hatuna sababu yoyote ya msingi.
 
Kagame ana mtandao ,anaweza agiza vichwa vya nuclear NK , kagame bwana nacheka kama mazuri vile
 
Muda utaamua. Lakini kwa sasa, JWTZ linaendelea na "hamsini zake", likiwa linajua vizuri kwanini halijarudi vitani kama ilivyofanya mwaka 2012-2013. Sababu tunayo, tena inajitosheleza!
JWTZ mbona wapo frontline? Ila M23 wana uzoefu wa vita za guerilla so sio rahisi kupambana nao. Mind you enzi za JPM kuna kambi ya JWTZ ilivamiwa wakauwawa wanajeshi zaidi ya 20!! So JWTZ sio invicible kwamba hawawezi pigwa ni tactics tu hata US na ubabe wake alikwama Somalia!!
 
Kinacho shangaza Kagame anamfokea president wa SA anamwacha jirani yake wa Tanzania 😆
huku hawezi kutufokea ndiko alikopikwa akawa shushu hatari wa mambo ya kivita na vita vya Uganda alishiriki kutusaidia upande wa Inteljesia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…