Ukimya wa viongozi wa vyama vya upinzani kukamatwa kwa Mbowe kunatufundisha yafuatayo

Ukimya wa viongozi wa vyama vya upinzani kukamatwa kwa Mbowe kunatufundisha yafuatayo

Hadi Sasa hakuna kiongozi wa chama Cha upinzani aliyejitokeza kupongeza au kukemea kilichofanywa na Jeshi la Polisi dhidi Mhe. Freeman Mbowe, ukimya huu unatoa tafsiri zifuatazo kwa mtizamo wangu;

1. ACT Wazalendo baada ya kupata nafasi Zanzibar imeanza kujiona sehemu ya serikali na mapambano ya haki kwao si kazi yao Tena. Lakini pia ukimya huu unakuja baada ya maridhoano yaliyopelekea viongozi wa chama hicho kupata fedha za kukipiga tafu chama lakini pia viongozi wao bara kupewa ahadi ya nafasi za uongozi.

2. ACT muundo wake ni wa mtu mmoja anayeamini kwamba siku moja chama chake kitakuwa na kusimama Kama chama kikuu Cha upinzani. Akiamini lazima chadema ife ndipo aweze kupata nafasi

3. Vyama vilivyobaki vyote ni matawi ya CCM, havina dira wala mwelekeo na nguvu zimeisha.

Pamoja na ukimya wao, ipo faida kwamba hata wale wafuasi wao ambao waliamini wanateswa na ccm wamekosa chama mbadala chenye dira na hivyo wote aidha kwa kupenda au kutokupenda wameamua kulia na chadema. Lakini pia ccm nayo imepata pigo baada ya familia nyingi kuumizwa bila hatia na utawala uliopita. Hivyo kwa Sasa nguvu ya siasa za hoja imebaki chadema
Mungu ibariki Chadema
 
Ukiondoa Chadema, vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni vibaraka na mapandikizi ya serikali ya ccm, hili liko wazi.

Wao wanaunga mkono dhuluma zote wanazofanyiwa wananchi na utawala huu ikiwa ni pamoja na kuhujumu chaguzi mbalimbali kwani hawana cha kupoteza.
 
Hadi Sasa hakuna kiongozi wa chama Cha upinzani aliyejitokeza kupongeza au kukemea kilichofanywa na Jeshi la Polisi dhidi Mhe. Freeman Mbowe, ukimya huu unatoa tafsiri zifuatazo kwa mtizamo wangu;

1. ACT Wazalendo baada ya kupata nafasi Zanzibar imeanza kujiona sehemu ya serikali na mapambano ya haki kwao si kazi yao Tena. Lakini pia ukimya huu unakuja baada ya maridhoano yaliyopelekea viongozi wa chama hicho kupata fedha za kukipiga tafu chama lakini pia viongozi wao bara kupewa ahadi ya nafasi za uongozi.

2. ACT muundo wake ni wa mtu mmoja anayeamini kwamba siku moja chama chake kitakuwa na kusimama Kama chama kikuu Cha upinzani. Akiamini lazima chadema ife ndipo aweze kupata nafasi

3. Vyama vilivyobaki vyote ni matawi ya CCM, havina dira wala mwelekeo na nguvu zimeisha.

Pamoja na ukimya wao, ipo faida kwamba hata wale wafuasi wao ambao waliamini wanateswa na ccm wamekosa chama mbadala chenye dira na hivyo wote aidha kwa kupenda au kutokupenda wameamua kulia na chadema. Lakini pia ccm nayo imepata pigo baada ya familia nyingi kuumizwa bila hatia na utawala uliopita. Hivyo kwa Sasa nguvu ya siasa za hoja imebaki chadema
Act wazalendo wapo bize wanajiondoa soon huko Zanzibar
 
Hadi Sasa hakuna kiongozi wa chama Cha upinzani aliyejitokeza kupongeza au kukemea kilichofanywa na Jeshi la Polisi dhidi Mhe. Freeman Mbowe, ukimya huu unatoa tafsiri zifuatazo kwa mtizamo wangu;

1. ACT Wazalendo baada ya kupata nafasi Zanzibar imeanza kujiona sehemu ya serikali na mapambano ya haki kwao si kazi yao Tena. Lakini pia ukimya huu unakuja baada ya maridhoano yaliyopelekea viongozi wa chama hicho kupata fedha za kukipiga tafu chama lakini pia viongozi wao bara kupewa ahadi ya nafasi za uongozi.

2. ACT muundo wake ni wa mtu mmoja anayeamini kwamba siku moja chama chake kitakuwa na kusimama Kama chama kikuu Cha upinzani. Akiamini lazima chadema ife ndipo aweze kupata nafasi

3. Vyama vilivyobaki vyote ni matawi ya CCM, havina dira wala mwelekeo na nguvu zimeisha.

Pamoja na ukimya wao, ipo faida kwamba hata wale wafuasi wao ambao waliamini wanateswa na ccm wamekosa chama mbadala chenye dira na hivyo wote aidha kwa kupenda au kutokupenda wameamua kulia na chadema. Lakini pia ccm nayo imepata pigo baada ya familia nyingi kuumizwa bila hatia na utawala uliopita. Hivyo kwa Sasa nguvu ya siasa za hoja imebaki chadema
Umeandika nini hapa?
Mwara vyama vya upinzani mara watu wa ccm humo kwenye andiko lako wanatafuta nini, kwani nao ni upinzani?

Watu wenye akili timamu hawawezi kuungana na magaidi na watu wasiotumia akili vizuri.
Matabaki kweye keyboard hapa hata mtaani watu hawjawajali.
Nakuuliza hivi huko dodoma mmeandamana kutokana ka kaulibyenu ya jana
Au mlikua mnatisha nabkujitekenya makalio?
 
Hadi Sasa hakuna kiongozi wa chama Cha upinzani aliyejitokeza kupongeza au kukemea kilichofanywa na Jeshi la Polisi dhidi Mhe. Freeman Mbowe, ukimya huu unatoa tafsiri zifuatazo kwa mtizamo wangu;

1. ACT Wazalendo baada ya kupata nafasi Zanzibar imeanza kujiona sehemu ya serikali na mapambano ya haki kwao si kazi yao Tena. Lakini pia ukimya huu unakuja baada ya maridhoano yaliyopelekea viongozi wa chama hicho kupata fedha za kukipiga tafu chama lakini pia viongozi wao bara kupewa ahadi ya nafasi za uongozi.

2. ACT muundo wake ni wa mtu mmoja anayeamini kwamba siku moja chama chake kitakuwa na kusimama Kama chama kikuu Cha upinzani. Akiamini lazima chadema ife ndipo aweze kupata nafasi

3. Vyama vilivyobaki vyote ni matawi ya CCM, havina dira wala mwelekeo na nguvu zimeisha.

Pamoja na ukimya wao, ipo faida kwamba hata wale wafuasi wao ambao waliamini wanateswa na ccm wamekosa chama mbadala chenye dira na hivyo wote aidha kwa kupenda au kutokupenda wameamua kulia na chadema. Lakini pia ccm nayo imepata pigo baada ya familia nyingi kuumizwa bila hatia na utawala uliopita. Hivyo kwa Sasa nguvu ya siasa za hoja imebaki chadema
mzee naona waporoja tu hivyo vyama vya upinzani hata watowe matamko 10000 ccm na police wao hata hawatetereki madamu wabongo ni mwabwege ccm watafanya watakavyo hilo la kwanza lapili mzee kama hulijuwi wazenji hawana haja na vyeo kama wewe unavyofikiri wa Zanzibar wanacho taka BENDERA ZA ZANZIBAR IPEPEPEE UMOJA WA MATAIFA BASI WALA SI VYENGINEVYO sio nyie huko bara. wabara wao wataka matumbo yao tu yajae si vyenginevyo hawana agenda agenda yao ni tumbo. na jengine kuingiya kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ni just kuionesha jumuiya ya kimataifa kwamba wamefanya kila kitu kilicho juu ya uwezo wao wakuinusuru nchi hii na umwagaji wa damu lakini lakisikitisha ccm wamekataa kwahivyo hakuna jengine lililobaki isipokuwa kila mtu atafute njia yake ya kuikombowa Zanzibar.
 
Usilazimisha wengine waamini unachoamini....hili ndio kosa wanalofanya CDM kwa kuamini wako sahihi na lazima waungwe mkono...Mbowe kakamatwa unataka wengine watoe tamko.....
 
Wameshausoma MCHEZO WA SIASA....

HAKUNA atakaye kuvunjwa miguu akose kuwatafutia dona wanawe kisa ya siasa koko za MWEKEZAJI MFANYABIASHARA MKUBWA mh.Mbowe.....

#KaziIendelee
basi lipa tozo
 
Hadi Sasa hakuna kiongozi wa chama Cha upinzani aliyejitokeza kupongeza au kukemea kilichofanywa na Jeshi la Polisi dhidi Mhe. Freeman Mbowe, ukimya huu unatoa tafsiri zifuatazo kwa mtizamo wangu;

1. ACT Wazalendo baada ya kupata nafasi Zanzibar imeanza kujiona sehemu ya serikali na mapambano ya haki kwao si kazi yao Tena. Lakini pia ukimya huu unakuja baada ya maridhoano yaliyopelekea viongozi wa chama hicho kupata fedha za kukipiga tafu chama lakini pia viongozi wao bara kupewa ahadi ya nafasi za uongozi.

2. ACT muundo wake ni wa mtu mmoja anayeamini kwamba siku moja chama chake kitakuwa na kusimama Kama chama kikuu Cha upinzani. Akiamini lazima chadema ife ndipo aweze kupata nafasi

3. Vyama vilivyobaki vyote ni matawi ya CCM, havina dira wala mwelekeo na nguvu zimeisha.

Pamoja na ukimya wao, ipo faida kwamba hata wale wafuasi wao ambao waliamini wanateswa na ccm wamekosa chama mbadala chenye dira na hivyo wote aidha kwa kupenda au kutokupenda wameamua kulia na chadema. Lakini pia ccm nayo imepata pigo baada ya familia nyingi kuumizwa bila hatia na utawala uliopita. Hivyo kwa Sasa nguvu ya siasa za hoja imebaki chadema
No no no no, you are being unfair. Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kaja na hoja ya Kisiwa cha Latham (Mafia) kuwa ni cha Zanzibar, yaani kaonyeshwa mappings and archives za Lancaster House, ni cha Sultani wa Oman. Makamo wa Kwanza a akipata kisuwa hicho, tayari sasa anakiomba. Why is tundulissu and fatmakarume not assisting pia wapatiwe Lamu na Mombasa na Sofala? Au wamekazania waende na askofu mwamakula kwa Mama Samia awabusu miguu? Na hivi mkutano wa ndani kwa ndani unapeperusha ubeligigiji ni mkutano wa hadharaaaaa au ni wa ndani?
 
Mkuu nchi hii hakuna upinzani hata huyo Mbowe ni walewale. Wakati wananchi tunalalamikia tozo za miamala ya simu na maelekezo y Mwigulu kuwa tuhamie Burundi. Mbowe ameandaa mkutano makusudi Mwanza tena akiwa na kauli kali kwa viongozi wa Serikali ili akamatwe.
Mbowe ametumika kufunika
1. Issue ya tozo iliyokuwa imemkalia mama vibaya
2. Kufunika kauli yake ya chanjo iwe lazima.
 
Ukiondoa Chadema, vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni vibaraka na mapandikizi ya serikali ya ccm, hili liko wazi.

Wao wanaunga mkono dhuluma zote wanazofanyiwa wananchi na utawala huu ikiwa ni pamoja na kuhujumu chaguzi mbalimbali kwani hawana cha kupoteza.
Bila serikali kuwafanyia hiyo dhulma Chadema basi ni sawa na kukuzuia hicho kufanya siasa zake Tanzania, Chadema bila purukushani na serikali hakuna chadema. Na hapo ndiyo penye utofauti na hivyo vyama vyengine.
 
Bila serikali kuwafanyia hiyo dhulma Chadema basi ni sawa na kukuzuia hicho kufanya siasa zake Tanzania, Chadema bila purukushani na serikali hakuna chadema. Na hapo ndiyo penye utofauti na hivyo vyama vyengine.
Sasa wewe unataka wafanye nini wakati ccm haitaki wafanye shughuli za kisiasa sasa walivisajili kwa nini si wavifute ieleweke moja kwa moja kwamba nchi ni ya chama kimoja. Huu unafiki wanafanya ya nini. Very stupid.
 
Sasa wewe unataka wafanye nini wakati ccm haitaki wafanye shughuli za kisiasa sasa walivisajili kwa nini si wavifute ieleweke moja kwa moja kwamba nchi ni ya chama kimoja. Huu unafiki wanafanya ya nini. Very stupid.
Soma vizuri.
 
Back
Top Bottom