Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Tanzania hakuna vyombo vya habari! Media ndio sector iliyooza na kutia aibu mno. Bora hata enzi za mwalimu ...
 
Bado elimu inahitajika sana kwenye jeshi letu. Jeshi lenye hadhi ya kimataifa halileti picha nzuri kwa upuuzi kama huu.
Na huyu askari wa cheo hicho anawezaje kuzozana na raia hadi kupigana. Mimi nilifikili konstebo kumbe mtu wa rank kubwa halafu anakua mjinga.
Waafrika tunamatatizo sana.
 
Polisi Tanzania Wana wajibu pia kuchukua hatua Kwa wote wavunja sheria maana hakuna aliye juu ya sheria.
 
Kama ni kawe wacha wapigwe tuuuu

Wamewahi kuua Binti wa Askari kwa mapanga hawakufanywa kitu

Wacha kiwarambe This time
 
Haiwezekani Luteni wa Jeshi auawe mambo yapite hivi hivi..usalama wenu ni kuwataja wote waliohusika mara moja .kichapo kipo pale pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…