Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Nasikia mmeuzwa huko nyinyiem ndio maana raia hawawapendi
😁😁😁😁😁😁😁 Mambo mengin ya hapa ni kuyaangalia tu ila kuna watu wa kuandika tu wanakwaza sana, hapa tutasumbuna tu bora nikasome uzi wa vyakula
 
Kwani mpaka sasa mechi ya wanajeshi na raia si kato katuwakilisha keshamuondoa zezeta mmoja duniani wananchi tuna jiweza hao wajinga gwanda tu zinawabeba ila wakija mmoja mmoja bila silaha tunawatafuna marinder
😁😁😁😁
 
Hawa jamaa kazi waliyobaki nayo ni kuzuia magari 100 pale Lugalo ili mwanafunzi mmoja avuke bara bara. Wanaweza kuvusha wanafunzi mmoja mmoja kwa interval hadi unajiuliza wanatumia nini kufikiri? Any way naona siku hizi askari wa usalama bara barani wameamua wasimamie uongozaji magari wenyewe maana hawa jamaa duh
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Kwani Jeshi la polisi wanasemaje?
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Media zilinyamazia Bandari,ndio itakuwa JWTZ
 
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru @JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tanzania "vyombo vya habari" vinafanya kazi kwa masharti waliyopewa na Abbas na Nepi kwa manufaa ya Samia.
 
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru @JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Watunga sheria ndiyo wavunja sheria
Walinda sheria ndiyo waiba sheria
Elimu itolewayo kuhusu sheria ni kama imetegeshwa ili kuwapa maslahi kundi fulani kupitia rushwa
Wananchi wa chini kabisa ndiyo wahanga wa mapungufu yote ya utungaji, ulinzi na utekelezaji wa sheria, mwisho wa siku kuna kundi litachoka na kuamua liwalo na liwe na ndiyo utakuwa mwanzo wa kupotea kwa amani ya nchi
 
Wanaojiita haki za binadamu wanatetea nini
Vipi kuhusu wale wanasheria nguli kina nanihii au wote wameona wacheze ngoma moja tu na wanasiasa?

Yaani hata wale wa waraka huwezi kuwasikia Subutu
Wako bize kuonyesha mipaka ya Israel tu
Shame on you
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Hatimaye baada ya kumalizana na "MITUMBA" mitaani....
 
Dereva bajaji kaua luteni wa jeshi???? Hv mnajua gharama ya kumtengeneza mwanajeshi Hadi afikie hicho cheo??? Basi km wanapigwa na mm nasema wapigwe tu maana hakuna namna
Ugomvi wa mwendesha bajaji na mwanajeshi uliopelekea mwanajeshi kushindwa vita na kufa unawahusu nini raia ambao hawakuwepo kwenye huo ugomvi?
 
Inamaana hapo Lugalo hakuna Mkuu wa Kambi?

Wanajeshi wanatokaje kambini kwenda kushambulia raia?

Mbona jeshi la polisi wameshamkamata mtuhumiwa? Hao wananchi wamekosa nini?
Hakuna Mtu aliye juu ya Sheria.
 
Ugomvi wa mwendesha bajaji na mwanajeshi uliopelekea mwanajeshi kushindwa vita na kufa unawahusu nini raia ambao hawakuwepo kwenye huo ugomvi?
Jeshi kwa busara litoe statement angalau kuweka sawa haya mambo kwani chuki inaongezeka baina yake na wenye jeshi lao
 
Unyonge kama huo,ndiyo wao wanautaka,ni upumbavu kabisa,mi sipendi kuonewa wala kuonea.Sasa mtaogopa hadi lini?
Na unasema wakikuchukulia demu wako,huoni huyo demu atakudharau maisha...?
akinidharau juu yake mwenyw tu mkuu
 
Back
Top Bottom