Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Inasikitisha sana
 
Chombo pekee cha habari kilichobaki TZ ni Jamii Forums pekee.
Kwangu JF imekuwa ni sehemu sahihi na ya pekee ya kujua yanayoendelea duniani.


P
Hiyo P hapo chini unamaanisha nn mkuu🙃🤪
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Mkuu Tuko bize na Israel na HAMAS wakati hamas nyingine iko kwwtu😅😅
 
Kumshawish mtu kwenda huko haifai anaweza kufa ukabak unajutia ila akisikiliza story na akipenda mwenyew safi safi, Sita shawish mwanangu aende ila akipenda akwende
Marafiki zangu walienda wakanishawishi niende ... Ni kweli wanalipwa vizuri na posho kibao....hata hivyo nafurahia maamuzi yangu yalikuwa sahihi 100%.
 
Kizazi kijacho,kitakuja kutushangaa sana miaka ijayo,yaani unapigwa na mtu anayetakiwa kulinda mipaka halafu hata vyombo vya habari,sijui vinaogopa nini kuripoti hali hii?
Huu sasa ni kama utawala wa kikoloni,ni ushenzi sana unaofanyika.Inamaana Kawe nzima,wamekubali waishi kwa kuonewa,isipokua Kato tu?
Aisee,uoga mwingine ni wa kipumbavu,ni bora vurugu itokee,kuliko kuwa kondoo.Watokee wananchi ambao wanatakiwa kuonyesha kuwa hawakubaliani na hali ya unyanyasaji huo.Siyo fair kabisa.Kato kafanya kwa nafasi yake,na wengine waonyeshe protest hadi suluhu ipatikane.
Ni zaidi ya ukoloni .... Mbunge wa Kawe anasemaje kwani?? Kawaacha watu wake wakafie mbele?
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Tupo na Palestina kwanza
 
Narudia tena na tena. Bila wananchi kuamka kwenye usingizi waliolala fofofo hakuna kitakachobadilika. Tuache mambo ya vyama au dini na tuungane wote. Fikiria: hao wanajeshi walikuwa wanatofautisha mwana CCM au CHADEMA kwenye kipigo? Au muislam na mkristo? Watawala hawana muda wa kufuatilia hayo kwani wanakula starehe. Na pia kwao ni raha kubwa kwa sababu ni njia mojawapo ya kufanya raia waogope dola. Tusitegemee sijui mkuu wa mkoa au mkuu wa kambi. Hawa wote wako wanaishi kwa starehe na familia zao. Hivi wananchi walishindwa kujitetea? Shika MPs watano piga kibereti kama vibaka muone kama watarudia tena huu ujinga.
Umesema ukweli
 
Back
Top Bottom