Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Narudia tena na tena. Bila wananchi kuamka kwenye usingizi waliolala fofofo hakuna kitakachobadilika. Tuache mambo ya vyama au dini na tuungane wote. Fikiria: hao wanajeshi walikuwa wanatofautisha mwana CCM au CHADEMA kwenye kipigo? Au muislam na mkristo? Watawala hawana muda wa kufuatilia hayo kwani wanakula starehe. Na pia kwao ni raha kubwa kwa sababu ni njia mojawapo ya kufanya raia waogope dola. Tusitegemee sijui mkuu wa mkoa au mkuu wa kambi. Hawa wote wako wanaishi kwa starehe na familia zao. Hivi wananchi walishindwa kujitetea? Shika MPs watano piga kibereti kama vibaka muone kama watarudia tena huu ujinga.
Mantiki naiona
 
Hahah hata likitajwa jina la moshi mweupe lazma kwanza jasho litoke kidogo hata yeye akija, akikukta bado mkavu utawaachia msala hao
Ilaaaaaa nyiee
Sishangai kabisa
Hamshindwi..
Ama nafatwa, nachangamshwa kidogo ndo nabebwa.

Baba angu alishawahi enda kunichoma shule.. kanitandika nyumbani na shule kaenda kunichoma.. nilitandikwaaaa.. nilikubali kutandikwa peke angu, maana ningefumbua mdomo ni class nzima ingewekwa assembly point… kuruti wangeitwa, yan ingekuwa ni sherehe…
Nikaamua kufa kike 🥹🥹

Uzuri ukichapwa huku una hasira fimbo uwa haziumi sana.
 
Ilaaaaaa nyiee
Sishangai kabisa
Hamshindwi..
Ama nafatwa, nachangamshwa kidogo ndo nabebwa.

Baba angu alishawahi enda kunichoma shule.. kanitandika nyumbani na shule kaenda kunichoma.. nilitandikwaaaa.. nilikubali kutandikwa peke angu, maana ningefumbua mdomo ni class nzima ingewekwa assembly point… kuruti wangeitwa, yan ingekuwa ni sherehe…
Nikaamua kufa kike 🥹🥹

Uzuri ukichapwa huku una hasira fimbo uwa haziumi sana.
Nani?
Wewe au?
 
Ilaaaaaa nyiee
Sishangai kabisa
Hamshindwi..
Ama nafatwa, nachangamshwa kidogo ndo nabebwa.

Baba angu alishawahi enda kunichoma shule.. kanitandika nyumbani na shule kaenda kunichoma.. nilitandikwaaaa.. nilikubali kutandikwa peke angu, maana ningefumbua mdomo ni class nzima ingewekwa assembly point… kuruti wangeitwa, yan ingekuwa ni sherehe…
Nikaamua kufa kike 🥹🥹

Uzuri ukichapwa huku una hasira fimbo uwa haziumi sana.
Ndo ipo hivyo Umoja, tena nayeye anafurahi sana haha sijui uchawi gani ule unakula akili zetu,
halafu mzee si angekufanyia upite baba kanisend uzurure nchini
 
Naona wanaume waoga kama mabinti
Yaan mijitu inamindevu mpaka matakoni ety inaogopa sare za jeshi ashuuuu iwena man
Hao wajeda wanawapiga wamama na wazee wa kawe kama vipi waende kuwapiga madereva boda na bajaji au waende mbagala kwa mandota au Chuga kwa machalii wa araaa au rock city kwa watoto wa wakoma au waende Mara kwa wakurya ili tuone ubavu wa maMP,
Binafs Mimi ni mpole now staki shida na mtu Ila ukinletea ubabe nakubaka tu mpk useme "zombi zombi zombi utaniuaa aah "
Ila nkikumbuka tym zile za mbungi za kufungiana mtaa na watoto wa tmk
Naona kabisa hao wamama wanaonewa
Hivi kwanini hao mambwiga wasijichanganye kwenye maskani za wahuniii kmmkeee?
 
Ndo ipo hivyo Umoja, tena nayeye anafurahi sana haha sijui uchawi gani ule unakula akili zetu,
halafu mzee si angekufanyia upite baba kanisend uzurure nchini
Even now nikitaka baba kanisend sitakosa.. ila siko tayari… yan ule moyo sina kabisaaa.

Kuna kaka angu alibakiza dk chache atoroke.. mimi wa kike si nitatenguka nyonga 🤣🤣
Alifanya jaribio la kutoroka.. wakamdakia stendi. Sasa alitaka aende wapi na ule upara unamtambulisha 🤣🤣
Yule nae!! Sijui aliwaza nini
 
Jeshi la tz lina mambo ya ajabu kabisa,wako kama wasanii tu

Jana nlichangia kwenye uzi wa GENTAMYCINE kuhusu sakata hili
Hili,nkasema mbona mpaka sahv media zote ziko kimyaa, hakuna aliyerusha habari

Ova
 
Naona wanaume waoga kama mabinti
Yaan mijitu inamindevu mpaka matakoni ety inaogopa sare za jeshi ashuuuu iwena man
Hao wajeda wanawapiga wamama na wazee wa kawe kama vipi waende kuwapiga madereva boda na bajaji au waende mbagala kwa mandota au Chuga kwa machalii wa araaa au rock city kwa watoto wa wakoma au waende Mara kwa wakurya ili tuone ubavu wa maMP,
Binafs Mimi ni mpole now staki shida na mtu Ila ukinletea ubabe nakubaka tu mpk useme "zombi zombi zombi utaniuaa aah "
Ila nkikumbuka tym zile za mbungi za kufungiana mtaa na watoto wa tmk
Naona kabisa hao wamama wanaonewa
Hivi kwanini hao mambwiga wasijichanganye kwenye maskani za wahuniii kmmkeee?
we unaongea nini ? hiv unajua kuingia kwny kumi na nane za hawa watu ni mzozo mwingine au unadhani wanakupa story za vijiweni
 
Even now nikitaka baba kanisend sitakosa.. ila siko tayari… yan ule moyo sina kabisaaa.

Kuna kaka angu alibakiza dk chache atoroke.. mimi wa kike si nitatenguka nyonga 🤣🤣
Alifanya jaribio la kutoroka.. wakamdakia stendi. Sasa alitaka aende wapi na ule upara unamtambulisha 🤣🤣
Yule nae!! Sijui aliwaza nini
Hahhh. Mwanaume maamuzi ya kutoroka ni chap sana ila kwa ke ni ngumu wanawazag sana haswa walio porini kabisa. Ila ungetisha sana na shule ipo safi safi
 
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
Vizuri kabisa wajinga hawa
 
Naona wanaume waoga kama mabinti
Yaan mijitu inamindevu mpaka matakoni ety inaogopa sare za jeshi ashuuuu iwena man
Hao wajeda wanawapiga wamama na wazee wa kawe kama vipi waende kuwapiga madereva boda na bajaji au waende mbagala kwa mandota au Chuga kwa machalii wa araaa au rock city kwa watoto wa wakoma au waende Mara kwa wakurya ili tuone ubavu wa maMP,
Binafs Mimi ni mpole now staki shida na mtu Ila ukinletea ubabe nakubaka tu mpk useme "zombi zombi zombi utaniuaa aah "
Ila nkikumbuka tym zile za mbungi za kufungiana mtaa na watoto wa tmk
Naona kabisa hao wamama wanaonewa
Hivi kwanini hao mambwiga wasijichanganye kwenye maskani za wahuniii kmmkeee?
Hahahha baada ya zombi kula na kushiba vyema ameamua kutupa ucheshi
 
Chombo pekee cha habari kilichobaki TZ ni Jamii Forums pekee.
Kwangu JF imekuwa ni sehemu sahihi na ya pekee ya kujua yanayoendelea duniani.

Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake

kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.

Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?

Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?

View attachment 2795689

View attachment 2795690

picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe

Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.

Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.

Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi

Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
P
 
we unaongea nini ? hiv unajua kuingia kwny kumi na nane za hawa watu ni mzozo mwingine au unadhani wanakupa story za vijiweni
Uoga tu bobu ww umekulia usabatoni ndy maana hujui mtaani wahuni wanaroho gani
Wahuni hawana roho na akikutia mbisu wa shingoni haoni noma
Kipindi nlpokua young nilikuwa kwny makundi ya mtaani nimepigana mbungi nyingi na mwili wangu unamakovu ya visu nyembe mikasi
Nimeshuhudia watu wakipigwa mabeto live Mara kibao
Hata polisi nao wanalishindwa soo
We mtoto wa kisabato haujui kitu man endelea kuimba pambio huku umesimama wima kama unaimba nymbo ya taifa.
 
Back
Top Bottom