Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Msinikwoti eheeee
Nisije nyongwa mkono
🤣🤣🤣

Ilaaaaaaaa
Umeediti fastaa.

Ukima wa Media inapelekea hata wahusika muhimu kudhani linaloendelea kule ni mabishano ya kawaida
 
Sawa mheshimiwa mtia nia na je vipi kuhusu afya za akili za raia kulipenda Jeshi lao, utapita door to door kupima afya za akili za raia wasiolipenda Jesha lao?
Tutaboresha miundombinu ya afya walau Kila mwezi familia zitapimwa kujua matatizo yao na kupatiwa Tiba na ushauri nasaha hiyo itakua sheria ya nchi !lazima Kila raia apimwe Kila mwezi!!
 
Ngoja waipate fresh kidogo siku 2/3 hizi majamaa wanapunguzia machungu ya kuondokewa na kanali,
Inasikitisha.

Naona ya Kawe na Gaza hakuna tofauti. Raia wanalipa gharama kubwa ya makosa wasiyoyashiriki
 
Nenda Kawe acha kujifanya warrior hapo nyuma ya keyboard nenda ukachezeshwe kiduku ukirudi utakuja kutusimulia vizuri,
Yaani nitoke Masaki niende kawe kufanya nini, unanivunjia heshima
 
Inasikitisha.

Naona ya Kawe na Gaza hakuna tofauti. Raia wanalipa gharama kubwa ya makosa wasiyoyashiriki
Wewee
Hao ndo zao
Shule akipita mmoja akasikia mnapiga kelele
Anafata wenzake
Mnakula viboko class nzima
 
Back
Top Bottom