Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Hakuna kitakachotokea, hao wapumbavu wa lugalo unakuta hawana hata bunduki, sababu jeshini huwezi kusainiwa bunduki utokenayo nje ya kambi, hakuna hiyi kituUnatafuta balaa wewe, 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitakachotokea, hao wapumbavu wa lugalo unakuta hawana hata bunduki, sababu jeshini huwezi kusainiwa bunduki utokenayo nje ya kambi, hakuna hiyi kituUnatafuta balaa wewe, 😆
Ngoja waipate fresh kidogo siku 2/3 hizi majamaa wanapunguzia machungu ya kuondokewa na kanali,Shida ya raia ni mapuuza , viburi, kupenda mashindano na kupimana uwezo.
Hebu fikiri watu wa Bajaj na Bodaboda.
Wee mkubwa mbna unaogopa kupita kawe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujaacha utoto
🤣🤣🤣🤣🤣Njoo tunywe 🍷kidogoWee mkubwa mbna unaogopa kupita kawe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda Kawe acha kujifanya warrior hapo nyuma ya keyboard nenda ukachezeshwe kiduku ukirudi utakuja kutusimulia vizuri,Hakuna kitakachotokea, hao wapumbavu wa lugalo unakuta hawana hata bunduki, sababu jeshini huwezi kusainiwa bunduki utokenayo nje ya kambi, hakuna hiyi kitu
Wewe na riki wa kimasihara mnacheka ya aina yenu pasonoooMsinikwoti eheeee
Nisije nyongwa mkono
🤣🤣🤣
Ilaaaaaaaa
Tutaboresha miundombinu ya afya walau Kila mwezi familia zitapimwa kujua matatizo yao na kupatiwa Tiba na ushauri nasaha hiyo itakua sheria ya nchi !lazima Kila raia apimwe Kila mwezi!!Sawa mheshimiwa mtia nia na je vipi kuhusu afya za akili za raia kulipenda Jeshi lao, utapita door to door kupima afya za akili za raia wasiolipenda Jesha lao?
Apimwe nini?lazima Kila raia apimwe Kila mwezi!!
Yaani nitoke Masaki niende kawe kufanya nini, unanivunjia heshimaNenda Kawe acha kujifanya warrior hapo nyuma ya keyboard nenda ukachezeshwe kiduku ukirudi utakuja kutusimulia vizuri,
Kuthibitisha km ni kweli au sio kweli, alafu utareport kutoka Kawe kuja JFYaani nitoke Masaki niende kawe kufanya nini, unanivunjia heshima
Afya kwa ujumla!Apimwe nini?
Wanaomboleza mkuu,Inasikitisha.
Naona ya Kawe na Gaza hakuna tofauti. Raia wanalipa gharama kubwa ya makosa wasiyoyashiriki
Afya ipi?Afya kwa ujumla!
Mwenzangu chaap yanUmeediti fastaa.
Ukima wa Media inapelekea hata wahusika muhimu kudhani linaloendelea kule ni mabishano ya kawaida
HahaaaWewe na riki wa kimasihara mnacheka ya aina yenu pasonooo
WeweeInasikitisha.
Naona ya Kawe na Gaza hakuna tofauti. Raia wanalipa gharama kubwa ya makosa wasiyoyashiriki