Hae Mo-Su
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 474
- 1,009
Mnacheka na emoji nyingi.. so pasoonoHahaaa
Kiaje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnacheka na emoji nyingi.. so pasoonoHahaaa
Kiaje mkuu
Askofu Chidi ache kujitafunia kondoo wake ahangaike na bodabodaNa mbunge, Askofu PhD yuko kama hayupo. Askofu asipokemea haya, tena kwa wapiga kura wake, uaskofu wa nii sasa!
Na huko pia ni kwake mtume Mwamposa. Naye yuko kimya anasubiri kukusanya shekeli kwa wagonjwa na may be, majeruhi wa hiyo kadhia
EmbuuuMnacheka na emoji nyingi.. so pasoono
Yani umrudishe chura majini.Embuuu
Tuliaa
Ama nikupeleke Lugalo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbeeeeYani umrudishe chura majini.
BoraMwenzangu chaap yan
Maana asijekunibadilikia aliyenipa info.. ukute yuko humu.
Haki ataninyonga mkono 🤣🤣🤣
Jamaa wanawanyuka waumini wao au sio hao bodaboda na Bajaj wasumbufu ni waumini wa Mwamposa na GwajiboiNa mbunge, Askofu PhD yuko kama hayupo. Askofu asipokemea haya, tena kwa wapiga kura wake, uaskofu wa nii sasa!
Na huko pia ni kwake mtume Mwamposa. Naye yuko kimya anasubiri kukusanya shekeli kwa wagonjwa na may be, majeruhi wa hiyo kadhia
Una support huo ujinga wa hao Wanajesh boss?Pita wewe ukachezee mbata,
Ukitoka mayfea pitia njia ya kawe kwa mguu ukiwa umelewa, kesho utatupa story🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbeeee
Basi njoo hapa mayfea tulewe
😂😂😂 tulia watu wapapasweBora
Maana wasiwasi ndo akili.
Raia wanapitishwa mekoni huko Kawe.
Serikali ipo kimya na hizi sheria za kuwapatia kinga hao wajamaa wa usalama ni rahisi sana kutumika vibaya.
Sheria isipoheshimiwa kuna kuwa na counterlaw laws za kutosha zinazoitwa KINGA YA KUTOSHTAKIWA
Hakuna niliposema hivyo,Una support huo ujinga wa hao Wanajesh boss?
Haha nataja jina moja tuUkitoka mayfea pitia njia ya kawe kwa mguu ukiwa umelewa, kesho utatupa story
Karibu SOFE huku .Ei Ara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbeeee
Basi njoo hapa mayfea tulewe
😆😆😆 Haya usisahau kufanya hivyo basi,Haha nataja jina moja tu
Hamna wa kunigusa 🤣🤣🤣
Cha zaidi watakaa na mm mpaka nifatwe
Ila atakaye nifata sasa
Lazima aninyonge mkono
Hahah hata likitajwa jina la moshi mweupe lazma kwanza jasho litoke kidogo hata yeye akija, akikukta bado mkavu utawaachia msala haoHaha nataja jina moja tu
Hamna wa kunigusa 🤣🤣🤣
Cha zaidi watakaa na mm mpaka nifatwe
Ila atakaye nifata sasa
Lazima aninyonge mkono
Nimeshangaa sana hata mimiKwani mna vyombo vya habari humu TZ..?
Askari wengi aana elimu ndogo sana (darasa la 7). Sasa ukichanganya na mibange wanayovuta, basi wanakuwa hawana tofauti na mbwa mwitu.Ni ukosefu wa nidhamu wa Askari.
Narudia tena na tena. Bila wananchi kuamka kwenye usingizi waliolala fofofo hakuna kitakachobadilika. Tuache mambo ya vyama au dini na tuungane wote. Fikiria: hao wanajeshi walikuwa wanatofautisha mwana CCM au CHADEMA kwenye kipigo? Au muislam na mkristo? Watawala hawana muda wa kufuatilia hayo kwani wanakula starehe. Na pia kwao ni raha kubwa kwa sababu ni njia mojawapo ya kufanya raia waogope dola. Tusitegemee sijui mkuu wa mkoa au mkuu wa kambi. Hawa wote wako wanaishi kwa starehe na familia zao. Hivi wananchi walishindwa kujitetea? Shika MPs watano piga kibereti kama vibaka muone kama watarudia tena huu ujinga.Mkwara wake ni kwa raia ambao kimsingi hawana hatia.
Kamati ya ulinzi na usalama ipo bize kuchunguza raia wanawaza nini na siyo kuwalinda ama kusimamia haki