Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

Ukimya wa vyombo vya habari juu ya unyama wa wanajeshi dhidi ya raia huko Kawe

"Nitaanzisha kikosi kazi Cha madaktari wa ushauri nasaha na kitapita Kila familia ya wanajeshi kuangalia afya ya akili kama ipo sawa au laa! na kutoa kutoa ushauri na Tiba Ili jeshi liwapende raia na ushirikiano wa kizalendo"Mtia nia ya urais mwaka 2040!!
Sawa mheshimiwa mtia nia na je vipi kuhusu afya za akili za raia kulipenda Jeshi lao, utapita door to door kupima afya za akili za raia wasiolipenda Jesha lao?
 
Kwa hiyo kila mtu akitaka uhakika afunge safari kwenda kawe?
Kuna wakati inabidi.

Media zote zipo kimya, raia ndo tumechukua jukumu la kusema yanayojjri huko mitaani.

Mnafika mahala kujenga imani unampa google location code enthusiast athibitishe mwenyewe
 
Shida ya raia ni mapuuza , viburi, kupenda mashindano na kupimana uwezo.
Hebu fikiri watu wa Bajaj na Bodaboda.
 
Back
Top Bottom