City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mkuu umeshindwa kung'amua code 😯Unadhani CCM ipo kwa maslahi ya wananchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeshindwa kung'amua code 😯Unadhani CCM ipo kwa maslahi ya wananchi?
Unatafuta balaa wewe, 😆Mimi ningekuwa RPC wa Kino..
Ningemwaga hawa wajeda wakachape hizi pumbavu za Lugalo, na kisheria nitakuwa sawa....
View attachment 2795734
Ndio aende akifika hapo ataikuta source inamsubiri na yeye arudi amechafuka, 😆Mkuu
Nchi huru hii. Nenda Kawe muda huu ukathibitishe kama taarifa hii ni kweli au famba
Mkuu
Nchi huru hii. Nenda Kawe muda huu ukathibitishe kama taarifa hii ni kweli au famba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hekaheka ilivyo kule, ukisika wajeda wapo wa jirani unatoka nduki hata kama upo unalitendea haki gogo lazima.ukatishe faragha uwahishe roho yako sehemu salama.
Labda mtu ajipige video akikimbia[emoji1787]
Ndio wanaomboleza hivyo kwa hio ukitaka kupata source wahi kawe maeneo yale peleka pua wewe utakua source nzuri sana kwetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe kukutwa na wanaoitwa MP. Huwa wamepachikwa chip kwenye mioyo yao. Wanakausha damu bila kuivujisha
Sawa mheshimiwa mtia nia na je vipi kuhusu afya za akili za raia kulipenda Jeshi lao, utapita door to door kupima afya za akili za raia wasiolipenda Jesha lao?"Nitaanzisha kikosi kazi Cha madaktari wa ushauri nasaha na kitapita Kila familia ya wanajeshi kuangalia afya ya akili kama ipo sawa au laa! na kutoa kutoa ushauri na Tiba Ili jeshi liwapende raia na ushirikiano wa kizalendo"Mtia nia ya urais mwaka 2040!!
Kuna wakati inabidi.Kwa hiyo kila mtu akitaka uhakika afunge safari kwenda kawe?
Ujaacha utoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikumaanisha CCM lakini😀Mkuu naelewa.
Mimi nimeamua kuiongozea kitunguu inoge
Wahi Kawe wewe usisubiri kusimuliwa nenda ukajionee mwenyewe,JF ya siku hizi bana!!
🙂 😛 😀
KumechafukwaWahi Kawe wewe usisubiri kusimuliwa nenda ukajionee mwenyewe,