Ukimya wa wanaharakati na wapinzani kwenye mfumuko wa bei ni dalili Rais Samia amekubalika au?

Ukimya wa wanaharakati na wapinzani kwenye mfumuko wa bei ni dalili Rais Samia amekubalika au?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei, ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.

Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
 
Tanzania hakuna wanaharakati.

Kuna genge dogo tu la michongo.

Hawafanyi kazi bure.

Sasa hivi wako busy na Mbowe.

Ni kama wana matatizo ya akili.

Utasikia wanakwambia huu mfumko wa bei umeletwa na CCM ili kutusahaulisha kesi ya Mbowe na Katiba mpya.
 
Badala ya kuacha nguvu ya soko iamue bei, wapo kulinda viwanda vya ndani kwa kumuumiza mwananchi mnyonge.......hawa watu hawaelewi hata wanachofanya, nafikiri wana umiliki kwenye hivyo viwanda wanavyodai kuvilinda.
 
Zzk alikuaga anachambua hizi mambo naona kaunga juhudi kimyakimya siku hizi. Yeye anashiba nani akausemee wewe pambana mwenyewe
 
Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.

Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?

Kiufupi wanaharaki wetu wapo kusimamia harakati zao, maslahi binafsi.

Mfano yule Mtukanaji mkuu waTaifa (Mange) amepewa passport, watamteua baadaye kuwa balozi.

CV yake ni nzuri sana kwao alikuwa anamtukana sana JPM na serikali yake.

Yeye, Zitto Kabwe, Assad, Sarungi, kigogo, Fatma wako kimya. Hawaoni tatizo lolote Maji,umeme, Bandari ya Bagamoyo, teuzi za kibinafsi, zisizo na vigezo.
 
Tanzania hakuna wanaharakati.

Kuna genge dogo tu la michongo.

Hawafanyi kazi bure.

Sasa hivi wako busy na Mbowe.

Ni kama wana matatizo ya akili.

Utasikia wanakwambia huu mfumko wa bei umeletwa na CCM ili kutusahaulisha kesi ya Mbowe na Katiba mpya.
Wewe upo busy na nani?
Na unasubiria nani? ; Akufanyie hizo harakati... Muda huo wewe ukifanya nini?!
 
Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.

Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
Chakula, dawa na vifaa vya ujenzi na nishati bei juu. Vileo bei chini, condom wanagawa bure. Laana
 
Midume mizima inategemea wanaharakati ndo wawatetee, Mzee Sykes angesubiri wanaharakati tusingekuwa tunasheherekea siku ya Uhuru wa Tanganyika leo!

Mwenyezi Mungu awarehemu Watanzania!!!!!!!!!!!
Nimepita humu ndani nasikia eti hatupo huru
 
Sasa ww unalala mika nini na ulikua unapeleka kura feki ktk vitu vya kawe kipindi cha uchaguzi 2020
 
Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.

Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
Bei za bidhaa hushushwa na wananchi barabarani ni si mikundi cha wachache, lawama zituangukie wananchi na si Chadema.
 
Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.

Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?

Ukimya wa upinzan wakati Na baada ya uchaguzi ulimaanisha jiwe anakubalika?
 
Back
Top Bottom