joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Na wale mashangazi wa twitter nao?Hawapo bungeni, watasemea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wale mashangazi wa twitter nao?Hawapo bungeni, watasemea wapi?
Mkuu,Kura mliwapa CCM
Kupanda kwa Bei wawasemee wapinzani?
Mtakula mlipopeleka mboga
Kuna raia yoyote aliyelalamika kuwa kura zimeporwa?.Mkuu,
Kwani hao walipewa Kura au walipora?!
Aysee..Kuna raia yoyote aliyelalamika kuwa kura zimeporwa?.
Sasa Kama waliweza kulalamika kuibiwa kura.kwanink washindwe kulalamika kupanda vitu Bei?Aysee..
Labda ww ni mgeni Tz.
Em pitia haya:
Uchaguzi 2020 - Lindi: Majengo ya Serikali yachomwa, magari yaharibiwa kisa Uchaguzi
Mkuu wa Mkoa huo, Godfrey Zambi, ameyaeleza hayo mjini Lindi, alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusiana na uharibifu uliofanywa wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 28, mwaka huu. Watu hao wanadaiwa kufanya fujo kwa sababu ya kutoridhishwa na mwenendo wa uchaguzi ulivyokwenda...www.jamiiforums.com
Kwa hiyo nyie mnataka kusemewa tu?Sasa Kama waliweza kulalamika kuibiwa kura.kwanink washindwe kulalamika kupanda vitu Bei?
Waingie mitaani waandamane
Unaelewa unachoandika? Unaelewa maana ya mfumuko wa bei?Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.
Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
Wewe unaelewa nini?Badala ya kuacha nguvu ya soko iamue bei, wapo kulinda viwanda vya ndani kwa kumuumiza mwananchi mnyonge.......hawa watu hawaelewi hata wanachofanya, nafikiri wana umiliki kwenye hivyo viwanda wanavyodai kuvilinda.
hao wanaharakati na wapinzani wanavyokua wanaumizwa na serikali katili ya CCM nyie huwa mnachukua hatua gani??Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei,ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.
Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
hahah kila mtu ale kuku wake.Kura mliwapa CCM
Kupanda kwa Bei wawasemee wapinzani?
Mtakula mlipopeleka mboga
Kwa hiyo kukiwa kimya ndo mnaona mmefanya kazi watu wamerizika, wee jamaa unaonekana kiazi sana......yaani tathmini mnayoifanyia kazi ni watu kukaa kimya! kuna thread ngapi humu watu wanalalamikia kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kiholela.Unaelewa unachoandika? Unaelewa maana ya mfumuko wa bei?
Bei zilizopo zinasapoti ukuaji wa uchumi na hakuna shida yoyote ndio maana unaona kuko kimya.
Ikiwa Tanzania kuna mfumuko wa bei je hizi Nchi hapa zina nini?👇
View attachment 2038996
View attachment 2038997
Ukilalamika Kwa upuuzi wako hakuna wa kujali.Parameters za Uchumi ziko vizuri no one cares your nonsense ulalamishi.Kwa hiyo kukiwa kimya ndo mnaona mmefanya kazi watu wamerizika, wee jamaa unaonekana kiazi sana......yaani tathmini mnayoifanyia kazi ni watu kukaa kimya! kuna thread ngapi humu watu wanalalamikia kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi kiholela.
Hizo parameter labda zimekaa vizuri kwenye mifuko ya mafisadi, wala nchi.....Ukilalamika Kwa upuuzi wako hakuna wa kujali.Parameters za Uchumi ziko vizuri no one cares your nonsense ulalamishi.
Na wewe kuwa fisadi ule nchi kwani hupendi fedha?🤣🤣Hizo parameter labda zimekaa vizuri kwenye mifuko ya mafisadi, wala nchi.....
Ubinafsi ni jambo baya sana, Nyerere angekuwa mbinafsi nchi hii hali ingekuwa ngumu sana kwa watu wengi........alipenda nchi yake, alipenda watu wake.Na wewe kuwa fisadi ule nchi kwani hupendi fedha?🤣🤣
Ubinafsi unao wewe unaelazimisha shida zako ziwe za wote.Ubinafsi ni jambo baya sana, Nyerere angekuwa mbinafsi nchi hii hali ingekuwa ngumu sana kwa watu wengi........alipenda nchi yake, alipenda watu wake.
Wenye shida wamejaa mijini na vijijini hawana hata uwezo wa kuandika hapa, come to your senses....Ubinafsi unao wewe unaelazimisha shida zako ziwe za wote.
Serikali ya Samia inaendelea kuzitatua..shida haziishagi na ni recurrent unless wewe huna shida..Wenye shida wamejaa mijini na vijijini hawana hata uwezo wa kuandika hapa, come to your senses....