Hana mradi mpya hata mmoja,ni viporo tu anamaliziaSerikali ya Samia inaendelea kuzitatua..shida haziishagi na ni recurrent unless wewe huna shida..
Mama yuko kazini π
View attachment 2039091
View attachment 2039092
Kwa nini hamkumalizia nyie hadi mumuachie Samia?Hana mradi mpya hata mmoja,ni viporo tu anamalizia
Kupanda kwa bei ni ishu global sio Tanzania pekee.Tumeshuhudia kila kitu kupanda bei, ndio kila kitu kasoro vinywaji tu. Tulizoea kelele na ukosoaji mkubwa enzi za JPM na muhanga mkubwa kabisa akiwa ni JK.
Sioni hayo yakiwa kama zamani hii ina maana gani?
Nyerere alipambana sana, hata hivyo uhuru tungeupata hata asingepambana.Midume mizima inategemea wanaharakati ndo wawatetee, Mzee Sykes angesubiri wanaharakati tusingekuwa tunasheherekea siku ya Uhuru wa Tanganyika leo!
Mwenyezi Mungu awarehemu Watanzania!!!!!!!!!!!
Wa tz tunashida sehemu,watu wanajitokeza wanapambana mwisho wa siku inakula kwako na family yako.
Kura mliwapa CCM
Kupanda kwa Bei wawasemee wapinzani?
Mtakula mlipopeleka mboga
Wanaona haya... Walimkashfu Magufuli so kitendo cha kuilalamikia serikali hii watakuwa wanaonyesha mapungufu ya serikali hii ambayo kwa JPM hayakuwepo. Maana yake watakuwa wamemkubali JPM kiaina.
Mwenzao Chahali juzi kajitokeza na kudai madini yanaibiwa (toroshwa) sana. Ameshambuliwa hadi kakoma.
Naomba hali hii iendelee na zaidi ili wabaya wetu ( wauwaji wa mtu asiye na hatia) wawe wazi.
Mungu hamfichi mnafki!
Kura waliiba ndio kwani uongo?si mlisema ccm wameiba hawana kura!!!!