Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kwema wakuu.
Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet.
Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania.
Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in destination country “ baada ya hapo mazima.
Ilivyonitokea mara mbili nikajua labda muuzaji magumashi ila ilivyojirudia tena mara 4 mwezi wa 12 hadi january nikahisi kitu. Nikawauliza baadhi ya watu wakasema inaibiwa sana izo small packages, ila hawajui ni Airport au posta.
Zinazofika ni zile ambazo nje zimeandikwa “Electronic device” au jina jingine ila ikiandikwa “Smartphone” wajomba wanatambaa nazo. Akipata simu zake 10 kwa mwezi amepata CIF ya Crown.
Watu wanatamaa sana na hii inasababisha wauzaji wengi wasiuze/ship vitu vyao kuja hizi nchi za masikini, maana ni hasara wanavyodaiwa dispute.
Mamlaka husika chunguzeni ilo.
Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet.
Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania.
Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in destination country “ baada ya hapo mazima.
Ilivyonitokea mara mbili nikajua labda muuzaji magumashi ila ilivyojirudia tena mara 4 mwezi wa 12 hadi january nikahisi kitu. Nikawauliza baadhi ya watu wakasema inaibiwa sana izo small packages, ila hawajui ni Airport au posta.
Zinazofika ni zile ambazo nje zimeandikwa “Electronic device” au jina jingine ila ikiandikwa “Smartphone” wajomba wanatambaa nazo. Akipata simu zake 10 kwa mwezi amepata CIF ya Crown.
Watu wanatamaa sana na hii inasababisha wauzaji wengi wasiuze/ship vitu vyao kuja hizi nchi za masikini, maana ni hasara wanavyodaiwa dispute.
Mamlaka husika chunguzeni ilo.