Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

Tatizo mzigo lazima ifunguliwe kwa ukaguzi
Shuguli inanzia hapo

Ova
Yaani dah wana discourage sana kununua vitu nje. Ile taasisi (Posta) miaka 100 haiji endelea aisee. Wajamaa wapigaji sana.
 
Kwema wakuu.

Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet.

Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania.

Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in destination country “ baada ya hapo mazima.

Ilivyonitokea mara mbili nikajua labda muuzaji magumashi ila ilivyojirudia tena mara 4 mwezi wa 12 hadi january nikahisi kitu. Nikawauliza baadhi ya watu wakasema inaibiwa sana izo small packages, ila hawajui ni Airport au posta.

Zinazofika ni zile ambazo nje zimeandikwa “Electronic device” au jina jingine ila ikiandikwa “Smartphone” wajomba wanatambaa nazo. Akipata simu zake 10 kwa mwezi amepata CIF ya Crown.

Watu wanatamaa sana na hii inasababisha wauzaji wengi wasiuze/ship vitu vyao kuja hizi nchi za masikini, maana ni hasara wanavyodaiwa dispute.

Mamlaka husika chunguzeni ilo.
Nakumbuka niliagiza saa zile vintage..daah inauma sana nikikumbuka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Posta Tz..wezi..wezi...wezi..hawafai nashangaa takukuru au polisi wanahangaika na watu wanao taka kuiletea maendeleo nchi hii kupitia dai la katiba mpya..wanaacha ku deali na wezi wa posta.

Posta na ombeni saa yangu.[emoji24]

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom