MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kitu pekee unachoweza kutuma kupitia Posta na kikafika salama ni Barua tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unamfahamu Ntuze 😂😂😂Nafikiri nimtumie Tajiri Ntuzwe yule muha wa pale k/koo
Wallah yule jamaa anavyojua kudai,Posta lazima watatia adabu.
[emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa utakua polic hizo ova afande ovaPosta wana njaa balaaa
Bado hujaenda Airport napo kuna mziki mwingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa utakua polic hizo ova afande ova
Ehe!ukicheki tracking destination inasoma dsmMaspika ayo utapata. Wao wanadeal sana na simu, tablet, yaani hivi vidude vidogo vidogo.
Bora ebay mkuu usijekujaribu kikuu, utapigwa na kitu kizito. Nilishaagiza iphone na beg la laptop bikafika ndani ya week tatu na ilikuwa mara yangu ya kwanza kuagiza kupitia kikuu.
Kuna mtu flani akaniomba nimuagizie iphone kama yangu, daah! Nilijihis ataniona tapeli. Walinitumia meseji eti mizigo umekamatwa Adis Ababa kwaajili ya clearance. Wakaniomba nivumilie lakini mwisho wakanirudishia hela. Nikaagiza tena ikachukua mwez na week mbili ikafika.
Mwaka jana tena nikaagiza iphone ya ndugu yangu, hii ni hadi niliwatukana huduma kwa wateja. Simu ilipotea mara tatu. Mara ya kwanza ilitumia mwez na week nikawa refunded, sababu ni mzigo umepotea. Nikaagiza tena mwezi na week 1 nikawa refunded tena, duuh. Nikaagiza mara ya tatu, ilitumia mwezi na week tatu nikapewa ujumbe mzigo umepotea. Niliwatukana huduma kwa wateja nikawaomba waitoe hela, wakaniomba namba ya tigo pesa nikawapa. Sijawahi rudia tena
Je nikitumia Agents. kama DHL
mzigo utakuwa 100% ya kuupata?
Hizi kampuni zipo miji mikubwa pekee.watu wanafata urahisi posta.Vitu vidogo vya thamani bora utumie kampuni hizi.vile vikubwa thamani unaijua wewe pekee unatumia posta.Ushauri: agizeni mizigo yenu kupitia Fedex, DHL, Aramex....achaneni na posta...
Mkuu huenda ikawa kweli japo personally sijawahi kupata shida, kuna parcel nasubiri ngoja tuone itakuwaje.
Kwa hizi shuhuda nilitaka kuagiza simu Ila najawa hofu kiongozi.
Wanalindana. Utakuta gharama za kufuatilia ni kubwa kuliko walichoiba. Mfano mtu upo mkoani umeagiza simu ya laki1 inapotelea posta makao makuu Dar. Utapanda bus kuja Dar kuhangaika nao?Haiwezekani Kufuatilia Wezi hao?
Kupenda kitonga ndio tatizo, nikiagiza naokoa 250k nzima [emoji23]Simu nunua bongo tu mzee au kama una watu wanaosafiri kwenda Dubai hivi...
Kupenda kitonga ndio tatizo, nikiagiza naokoa 250k nzima [emoji23]
Sana tu,yule ananyota ya sheria,Kumbe unamfahamu Ntuze 😂😂😂