Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

Mkuu umeongea ukweli kabisa.. mm kuna item 4 zimepotea na zote zilifika Tanzania. Siku hizi sijui Tanzania imekua je.. wanaiba sana vitu tofauti na miaka ya nyuma mzigo unaupata kirahis kabisa
Nilipoona promo ya posta nikajua wamejivua gamba. Maana zamani hata nikipokea barua toka nje walikuwa wanaifumua kwanza kujiridhisha kama ni barua. Hizo ndo characteristics za watu wa nchi fukara. Poleni
 
Nilipoona promo ya posta nikajua wamejivua gamba. Maana zamani hata nikipokea barua toka nje walikuwa wanaifumua kwanza kujiridhisha kama ni barua. Hizo ndo characteristics za watu wa nchi fukara. Poleni
Posta ni wangese Sana!
 
Mimi kwa uzeofu wangu ebay ndo miyeyusho vitu vichache sana ndonvilifikaga ila Aliexpress wao vitu hua vinachelewa na nikiona miyeyusho naomba refund hela inarudi..yani kama ni utapeli ningewatapeli sana hawa Aliexpress..maana vitu navipata kabisa lakini vinasoma havijafika....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unawaibia kwa sababu hutumii registered mail. Ukitumia registered mail huwaibii hata chembe
 
Umenikumbusha niliwahi kuigiza simu nje ya nchi kufika posta Tz ikapotea, sirudiii tena!.
 
Back
Top Bottom