Washaurini alibaba wafungue ofisi zao Tza wawe na delivery center yao Tza. Wawe na magodown tza, mwenye link yao anipe niwape wazo hilo. Wachina wapo speed Sana kurespond
Tuhamasishane tuwatumie kwenye email yao head office china au tuwapigie kwamba market yao huku ni kubwa tatizo alibaba mingi mingi mizigo inaibiwa.Shida ni kwamba ushauri ili ufanyiwe kazi inatakiwa washauri watu wengi.
Bora lakini kitu kimefika posta ni cheap shida uaminifuKwa hizi kampuni binafsi nafikiri ni uhakika maana wakifanya michezo wanatoka sokoni sema bei zao za usafirishaji hazijarara..😂
Hivi ukiagiza sex toy la kike kupitia posta wataliiba kweli..?😅Bora lakini kitu kimefika posta ni cheap shida uaminifu
Wote mliolalamika hapa mkiwapa ushauri watawaelewa tuShida ni kwamba ushauri ili ufanyiwe kazi inatakiwa washauri watu wengi.
Hawawezi uuzaji wake sio wa chapu kama simu, laptop nkHivi ukiagiza sex toy la kike kupitia posta wataliiba kweli..?😅
Tatizo mzigo lazima ifunguliwe kwa ukaguziMwambie seller afanye wrapping yaani kuifunga mizigo au bag na nailoni kama wafanyavyo airport
Nadhani wanajua tatizo sababu ni lazima wapate feedback ya mzigo ulifika?Wote mliolalamika hapa mkiwapa ushauri watawaelewa tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ngoja niwakomeshe nanunua li ebony moja jeusi bila kusahau msambwanda mkubwaa!..😁Hawawezi uuzaji wake sio wa chapu kama simu, laptop nk
Nakumbuka niliagiza saa zile vintage..daah inauma sana nikikumbuka.Kwema wakuu.
Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet.
Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania.
Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in destination country “ baada ya hapo mazima.
Ilivyonitokea mara mbili nikajua labda muuzaji magumashi ila ilivyojirudia tena mara 4 mwezi wa 12 hadi january nikahisi kitu. Nikawauliza baadhi ya watu wakasema inaibiwa sana izo small packages, ila hawajui ni Airport au posta.
Zinazofika ni zile ambazo nje zimeandikwa “Electronic device” au jina jingine ila ikiandikwa “Smartphone” wajomba wanatambaa nazo. Akipata simu zake 10 kwa mwezi amepata CIF ya Crown.
Watu wanatamaa sana na hii inasababisha wauzaji wengi wasiuze/ship vitu vyao kuja hizi nchi za masikini, maana ni hasara wanavyodaiwa dispute.
Mamlaka husika chunguzeni ilo.
Posta wana njaa balaaaYaani dah wana discourage sana kununua vitu nje. Ile taasisi (Posta) miaka 100 haiji endelea aisee. Wajamaa wapigaji sana.
HahahahaNakumbuka niliagiza saa zile vintage..daah inauma sana nikikumbuka.
#MaendeleoHayanaChama
Afu wengi watu wazima shirika linakosa ubunifuYaani dah wana discourage sana kununua vitu nje. Ile taasisi (Posta) miaka 100 haiji endelea aisee. Wajamaa wapigaji sana.
Nimeagiza zangu wiki iliyopita ngoja nione kama zitanifikiaPosta wameshanipotezea earphone za elfu 50.ubabaishaji sana posta