Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

Hapo kwanza tupeleke malalamiko yetu posta moja kwa moja ikiwezekana kwa wizara husika bila kusahau kamati za ulinzi na usalama

Pia kwa kuwa mitandao ina nguvu sana watu wooote tukipaza sauti zetu humu jf, facebook, tweeter, instagram nk wahusika watasikia na wataona kweli Watu wamechachamaa katika hilo.
 
Shirika limejaa wazee unatarajia nini???
 
Shirika limejaa wazee unatarajia nini???
hata watumishi wake ni waajabu sana nakumbuka nilishasoma story yao moja ya ajabu sana kwamba junior officer (security officer) alipandikiza kiasi cha bangi kwenye parcel ya CEO wa hilo shirika sijui alifanya usiku, kesho yake watu wengine wa security walipokagua hiyo parcel wakagundua kuna kiasi cha gramu kadhaa za bangi so ikabidi huyo boss awe aswerable ilikuwa mshikemshike kwenye taasisi ikabidi bosi akapimwe mkojo kama anatumia bangi ikaonekana hatumii,ukafanyika uchunguzi mkali ndipo ikabainika kwamba hiyo bangi ilifanywa kuchomekwa kwenye mzigo wa bosi hapohapo ofisini kwao huyo jamaa alipogundua amegundulika akakimbia akafukuzwa kazi on absentee.
Just imagine mtu anafungua parcel ya bosi wake na kuweka bangi mtu huyoatashindwaje kuiba parcel za wateja
 
Hii inanikumbusha rafiki yangu alikuaa kwenye taasisi moja inayosomesha watoto inayodhaminiwa na wamarekani, ilitumwa cheque kufika posta walichana wakaenda nayo bank wakafeli kuiba hela maana pamoja na uwepo wa sahihi ya mdhamini ilikua inahitaji sahihi ya rafiki yangu pamoja na muhuri anaokaa nao rafiki yangu, POSTA HQ WEZI SANA
 
Posta wazembe sana ...wangepata viongozi na wafanyakazi makini wangepiga hela sana kwenye shipping ya online. Watanzania wengi sana wanatamani kununua vitu online ila wanasita kwa sababu ya posta.
 
Washaurini alibaba wafungue ofisi zao Tza wawe na delivery center yao Tza. Wawe na magodown tza, mwenye link yao anipe niwape wazo hilo. Wachina wapo speed Sana kurespond
Sidhani kama wanabiashara kubwa kihivyo hadi wafungue na ofisi
 

Hapa ndipo wanatanzania tunafanya makosa kwa kulea upuzi na wajinga....ulipaswa kwenda kwa mabosi wao, ikiwezekana mpaka kwa Waziri na mahakamani kabisa..... mkifanya hizi watu 10 watakuwa na adabu kidogo
 
Washaurini alibaba wafungue ofisi zao Tza wawe na delivery center yao Tza. Wawe na magodown tza, mwenye link yao anipe niwape wazo hilo. Wachina wapo speed Sana kurespond

Ni idea nzuri, unaweza kuomba kuwa agent wao kwa delivery zote kuzifanyia kwako...
 
Khaaaa

Wanahitaji wapitiwe upya kwa kweli!!!!
 
Duh!!!
 
Ndiyo maana hata zoezi la anuani za makazi ni bure tu! Ni kuimarisha polisi's surveillance on citizens, in a 'police state'.
 
Kila aliebiwa mzogo wake na posta aufungulie uzi wake, malalamiko yakiwa mengi humu jukwaani ni lazima tu watashughulikiwa, haiwezekani serikali itoe pesa nyingi kulifufua hili shirika halafu viongozi wa hilo shirika ndio wawe wa kwanza kulihujumu.
 
Si Wana office Dar nadhani wanajua changamoto au kwenda kuwaripotia office kwao



 
Posta wazembe sana ...wangepata viongozi na wafanyakazi makini wangepiga hela sana kwenye shipping ya online. Watanzania wengi sana wanatamani kununua vitu online ila wanasita kwa sababu ya posta.
Ila nchi yetu imejaa uozo sana na wafanyakazi mambumbumbu

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…