Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu



Aieone ERoni
 
Ushauri: agizeni mizigo yenu kupitia Fedex, DHL, Aramex....achaneni na posta...
Hizi kampuni zipo miji mikubwa pekee.watu wanafata urahisi posta.Vitu vidogo vya thamani bora utumie kampuni hizi.vile vikubwa thamani unaijua wewe pekee unatumia posta.
 
Haiwezekani Kufuatilia Wezi hao?
Wanalindana. Utakuta gharama za kufuatilia ni kubwa kuliko walichoiba. Mfano mtu upo mkoani umeagiza simu ya laki1 inapotelea posta makao makuu Dar. Utapanda bus kuja Dar kuhangaika nao?
 
Njia nyingine nikupitia mawakala km dhl wapo juu. .kuna agents wavitu toka nje ya nchi. .UK. .us na hasa China. ..ww unalipia kwa agent moja kwa moja na si through posta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…