Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Nilipoona promo ya posta nikajua wamejivua gamba. Maana zamani hata nikipokea barua toka nje walikuwa wanaifumua kwanza kujiridhisha kama ni barua. Hizo ndo characteristics za watu wa nchi fukara. PoleniMkuu umeongea ukweli kabisa.. mm kuna item 4 zimepotea na zote zilifika Tanzania. Siku hizi sijui Tanzania imekua je.. wanaiba sana vitu tofauti na miaka ya nyuma mzigo unaupata kirahis kabisa
Posta ni wangese Sana!Nilipoona promo ya posta nikajua wamejivua gamba. Maana zamani hata nikipokea barua toka nje walikuwa wanaifumua kwanza kujiridhisha kama ni barua. Hizo ndo characteristics za watu wa nchi fukara. Poleni
Wizara ,JKIA na posta ni wangesePosta na JKIA ni wasenge
Mimi kwa uzeofu wangu ebay ndo miyeyusho vitu vichache sana ndonvilifikaga ila Aliexpress wao vitu hua vinachelewa na nikiona miyeyusho naomba refund hela inarudi..yani kama ni utapeli ningewatapeli sana hawa Aliexpress..maana vitu navipata kabisa lakini vinasoma havijafika....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna baadhi hua inakuja kwa hio registered mailUnawaibia kwa sababu hutumii registered mail. Ukitumia registered mail huwaibii hata chembe