Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

mtoto siri ya mama

basi Maty, usimalizie kusema,
nguvu zimeniishia kabisa kwa hili!

Huyo bidada, alikuwa ana hasira ya kumtaka mwanae,
kwakuwa alijua kaisa mtoto si wa dr. kibaiolojia!!!!!!!du..........
 
basi Maty, usimalizie kusema,
nguvu zimeniishia kabisa kwa hili!

Huyo bidada, alikuwa ana hasira ya kumtaka mwanae,
kwakuwa alijua kaisa mtoto si wa dr. kibaiolojia!!!!!!!du..........

Hahahaaaaa lol nimekuweza bacha, nikirudi uliuliza kwani wababa hamna uchungu? mnapakaziwaga sana na mtoto kama si wako huwezi sikia uchungu. Huyo mama mtoto wake mdogo bana serekale yenyewe imeonteza muda wa baba kumchukua mtoto kutoka miaka 7 mpaka 14 unafikiri kwa nini? hata saba wameona hawezi kujitetea itakua uyo wa mwaka mmoja
 
Na kutoka nje ya ndoa yako kutafuta mwanamke nje si dhambi sio??

yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!
 
yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!

Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???
 

Sana tuuu
 

dah, kwa hili Maty,
sina neno!
 
Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???

Maty,kanambia kuwa sio mtoto wangu kibaiolojia,
nguvu zote za kumtaka mwanangu zimeniishia!!!
 
umejibu kama wenye haki ya kuwa na watoto ni wanandoa tu na hayo matusi uliyotoa yanakusaidia nini ina maana hawa watoto waliozaliwa nje ya ndoa matunzo yao huwa ni mabovu na wandani ndio wanaofanikiwa nakuonekana wana heshima kubwa mbele ya jamii


 
Ha ha ha hivi nyie wanaume mkoje lakini?? Yaani unanigeuza mie chombo cha kukuzalia??

Hope huyo dada kampata mtoto wake
 
yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!

angetaka mazungumzo angesubiri mama yupo ndio achukue mtoto

Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???
hahahaaaaaaa lol

Maty,kanambia kuwa sio mtoto wangu kibaiolojia,
nguvu zote za kumtaka mwanangu zimeniishia!!!

sasa mbona humrudishii? kampe mtoto wake bana

Ha ha ha hivi nyie wanaume mkoje lakini?? Yaani unanigeuza mie chombo cha kukuzalia??

Hope huyo dada kampata mtoto wake
ajabu
 

Hizo bold hapo juu mie kizunguzungu kweli kabisa?? Wanaume zetu hawa mungu awape nguvu ya kutuheshimu
 
ndo hapo huwa nawashangaa kuibia wengine mbegu zao wenyewe wamekaa kimya wao miguu mbele kuficha watoto wasiokuwa wao:lying:


Ukome kuuliza uliza mambo ya watoto kapime DNA kama hujazimia
 
Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???

Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…