Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

mtoto siri ya mama

basi Maty, usimalizie kusema,
nguvu zimeniishia kabisa kwa hili!

Huyo bidada, alikuwa ana hasira ya kumtaka mwanae,
kwakuwa alijua kaisa mtoto si wa dr. kibaiolojia!!!!!!!du..........
 
basi Maty, usimalizie kusema,
nguvu zimeniishia kabisa kwa hili!

Huyo bidada, alikuwa ana hasira ya kumtaka mwanae,
kwakuwa alijua kaisa mtoto si wa dr. kibaiolojia!!!!!!!du..........

Hahahaaaaa lol nimekuweza bacha, nikirudi uliuliza kwani wababa hamna uchungu? mnapakaziwaga sana na mtoto kama si wako huwezi sikia uchungu. Huyo mama mtoto wake mdogo bana serekale yenyewe imeonteza muda wa baba kumchukua mtoto kutoka miaka 7 mpaka 14 unafikiri kwa nini? hata saba wameona hawezi kujitetea itakua uyo wa mwaka mmoja
 
Na kutoka nje ya ndoa yako kutafuta mwanamke nje si dhambi sio??

yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!
 
yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!

Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???
 
Hahahaaaaa lol nimekuweza bacha, nikirudi uliuliza kwani wababa hamna uchungu? mnapakaziwaga sana na mtoto kama si wako huwezi sikia uchungu. Huyo mama mtoto wake mdogo bana serekale yenyewe imeonteza muda wa baba kumchukua mtoto kutoka miaka 7 mpaka 14 unafikiri kwa nini? hata saba wameona hawezi kujitetea itakua uyo wa mwaka mmoja

Sana tuuu
 
Hahahaaaaa lol nimekuweza bacha, nikirudi uliuliza kwani wababa hamna uchungu? mnapakaziwaga sana na mtoto kama si wako huwezi sikia uchungu. Huyo mama mtoto wake mdogo bana serekale yenyewe imeonteza muda wa baba kumchukua mtoto kutoka miaka 7 mpaka 14 unafikiri kwa nini? hata saba wameona hawezi kujitetea itakua uyo wa mwaka mmoja

dah, kwa hili Maty,
sina neno!
 
Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???

Maty,kanambia kuwa sio mtoto wangu kibaiolojia,
nguvu zote za kumtaka mwanangu zimeniishia!!!
 
umejibu kama wenye haki ya kuwa na watoto ni wanandoa tu na hayo matusi uliyotoa yanakusaidia nini ina maana hawa watoto waliozaliwa nje ya ndoa matunzo yao huwa ni mabovu na wandani ndio wanaofanikiwa nakuonekana wana heshima kubwa mbele ya jamii


Mimi ninaye mama na amenizaa kwa heshima kubwa kabisa wakiwa na baba yangu katika ndoa takatifu, nawapenda sana wazazi wangu. Na nimeshuhudia watoto waliozaliwa kwa mtindo unaofanana na ule wa mbuzi aliyekutana na beberu machungani, watoto hao hawaipendi hata kidogo hali hiyo na inawanyanyapaa sana. Ndicho ninacholaani, tabia ya wanawake kujizalisha hovyo tu kama mbuzi machungani, kwa nini msitulie mkaolewa kwanza ndipo mzae? Mnawakosea sana haki hao watoto mnaowazaa hovyo katika hayo mazingira ya utovu wa maadili. Wanawake badilikeni.
 
Ha ha ha hivi nyie wanaume mkoje lakini?? Yaani unanigeuza mie chombo cha kukuzalia??

Hope huyo dada kampata mtoto wake
 
yote ni dhambi!,
ndo maana suluhu ya haya yote ni kuzungumza,
wala si kupeana majeraha ya mwili!!!!!

angetaka mazungumzo angesubiri mama yupo ndio achukue mtoto

Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???
hahahaaaaaaa lol

Maty,kanambia kuwa sio mtoto wangu kibaiolojia,
nguvu zote za kumtaka mwanangu zimeniishia!!!

sasa mbona humrudishii? kampe mtoto wake bana

Ha ha ha hivi nyie wanaume mkoje lakini?? Yaani unanigeuza mie chombo cha kukuzalia??

Hope huyo dada kampata mtoto wake
ajabu
 
Nilimpeleka mtoto hosp for a check up maana alikuwa na ka-homa kidogo! Wakati nasubiri kuingia kwa daktari nikasikia kelele za kilio toka chumba kingine, mama/dada mmoja akawa analia "nataka mtoto wangu, nipe mtoto wangu"
Kwa makadirio ya haraka mimi na wateja wengine wa pale hospitalini tukahisi kwamba yule dada/mama alikuja na mtoto mgonjwa na either amefariki au kuna kitu kibaya kimetokea!
Mara tukasikia tena kelele za kuomba msaada "ananiua, ananinyonga", ikabidi tukimbilie kwenda kuona nini kinatokea! Tukakuta Doctor mwanaume ambaye Tshirt yake imelowa damu anamkaba yule mama sakafuni, wakaachanishwa!
Sasa baada ya ile sakata kutulia, yule Dr akaingia kufanyiwa dressing ya wounds za kisu nyuma ya kichwa na shingoni!
Ikabidi tutafute sababu ya yule mama kumjeruhi yule Dr ambaye tulidhani ni mume wake, kumbe ni tofauti kidogo! Yule mama aliongea kwa uchungu sana, akatueleza kwamba yeye na yule Dr walikuwa ni wapenzi,
Huyo Dr ana mke na watoto sita wa kike, sasa amezaa na yule nyumba ndogo mtoto wa kiume! Yule jamaa akakata mahusiano na yule dada, mtoto alipofikisha mwaka 1 na miezi mitatu yule Dr akaja akamchukua mtoto on mother's absence
Akaenda kumficha anakojua! Sasa ndo yule mama akaja kudai mtoto pale kazini kwa hawara yake/baba mtoto! Dr akam-provoke kuwa yeye hakuwa na shida na yule dada, alikuwa na shida na mtoto wa kiume, so achape lapa! Dada wa watu ndo akawa mbogo, Dr akaanza kumdunda, dada akatoa bisu lake akampa za shingoni na utosini!
Je wapendwa wazazi wenzangu, ingekuwa wewe ungeweza kuchukua uamuzi kama huo?

Hizo bold hapo juu mie kizunguzungu kweli kabisa?? Wanaume zetu hawa mungu awape nguvu ya kutuheshimu
 
ndo hapo huwa nawashangaa kuibia wengine mbegu zao wenyewe wamekaa kimya wao miguu mbele kuficha watoto wasiokuwa wao:lying:


Ukome kuuliza uliza mambo ya watoto kapime DNA kama hujazimia
 
Hivi mmemalizanaje na huyo dada umepona majereha?? Umempa mtoto wake???

Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom