ukitaka kufa mapema,
fanya haya mambo ya kupima DNA sijui nini..........
walahi kidume unakufa papo hapo!
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!
Mie na wewe hatuwezi fikia hatua ya kuchomana visu ni makubaliano
tangu mwanzo tunaanzia angaza tunamaliza mchezo unaonaje hiyo??
ni kweli,
na nikitaka mtoto wakati wowote nimwone,
nakuja tu kumchukua si ndio mama?
Si bora hata nimesema mbuzi? Ningewaita mbwa kabisa ndiyo ingeendana vizuri na hiyo tabia ya kuzaa tu alimradi umezaa, kwa nini msisubiri kuolewa mzae katika ndoa zenu? Kama unaweza hebu jaribu kutafiti kidogo watoto waliozaliwa nje ya ndoa waulize wanavyojisikia, nakuhakikishia wanachukia sana hali hiyo maana inawanyanyapaa. Wanawake badilikeni muwape heshima watoto wenu.
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambuaTena hata wiki/mwezi kakae nae ila tu ukumbuke kumrudisha
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua
Maty haendi nae kwa mkewe anampeleka kwa shangazi yake!!!!
Na nyie muachage kuzaa kama mbuzi. Hebu muolewe muzae na waume zenu muone kama kuna atakayewasumbua. Mnayatafuta wenyewe haya matatizo.
Aliyekwambia tumezaa nje ya ndoa ni nani? Watch your language wewe
Tambua kuwa si kila single parent amezaa nje ya ndoa...................open up your brain. C.R.A.P
Mimi ninaye mama na amenizaa kwa heshima kubwa kabisa wakiwa na baba yangu katika ndoa takatifu, nawapenda sana wazazi wangu. Na nimeshuhudia watoto waliozaliwa kwa mtindo unaofanana na ule wa mbuzi aliyekutana na beberu machungani, watoto hao hawaipendi hata kidogo hali hiyo na inawanyanyapaa sana. Ndicho ninacholaani, tabia ya wanawake kujizalisha hovyo tu kama mbuzi machungani, kwa nini msitulie mkaolewa kwanza ndipo mzae? Mnawakosea sana haki hao watoto mnaowazaa hovyo katika hayo mazingira ya utovu wa maadili. Wanawake badilikeni.
Ulikuwa umelala nini?? Kaniboa mimi huyu asubuhi ya leo acha tu eti sisi mbuzi
Mpendwa sikuwa nimeingia humu .......dah basi tu glands zangu za hacra leo hazifanyi kazi. Nitamshauri tu! ataelewa.
Naona amesahau ule usemi wa usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.
una maneno machafuuu sana as if ..... Anyway nisije nikatoa maneno machafu buree.
Ndio uelewe watoto hawapendi kuzaliwa katika mazingira kama ya mbwa-koko, utulie uolewe uzae wanao katika familia yako na mumeo kwenye ndoa. Mnawakosea sana haki watoto mnapowazaa na kujikuta wanaishi kama mbwa-koko, baba hajulikani eti hadi mtoto akapige simu Radio Free Africa na kujieleza maelezo mareeefu ya kumtafuta baba yake, kisa tu mamake kamficha au hata hamjui! Aibu jamani kinamama, aibu sana!
Nimeshasema tena wazazi wangu wamenizaa kwa heshima ya kibinadamu katika ndoa. Wanaozaa ki-mbwa ni hao wanaozaliana bila utaratibu nje ya ndoa au bila ndoa, inakuwa ni sawa tu na mbwa koko wanapokutana majalalani. Ndio maana hata hao watoto wao wananyanyapaliwa na kuitwa bastards (wanaharamu)! Kwa hiyo kama unashabikia uzazi wa mtindo huu wa mbwa-koko natumaini unajielewa mwenyewe uko kundi gani.
Ungekua umepata malezi ya heshima usingekua unaongea maneno machafu wewe ni C.R.A.P tu RIP