Ukinyang'anywa mtoto, unaweza kuchukua maamuzi kama haya?

ukitaka kufa mapema,
fanya haya mambo ya kupima DNA sijui nini..........
walahi kidume unakufa papo hapo!

Mambo ya ndani magumu nyie tena haya ya watoto acheni kabisa
Ukimchunguza sana bata/kuku/ng'ombe/mbuzi/nguruwe hutamla
 
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!

Mie na wewe hatuwezi fikia hatua ya kuchomana visu ni makubaliano
tangu mwanzo tunaanzia angaza tunamaliza mchezo unaonaje hiyo??
 
Mie na wewe hatuwezi fikia hatua ya kuchomana visu ni makubaliano
tangu mwanzo tunaanzia angaza tunamaliza mchezo unaonaje hiyo??

ni kweli,
na nikitaka mtoto wakati wowote nimwone,
nakuja tu kumchukua si ndio mama?
 

Nafikiri ni two way traffic, kama baba umeoa na ndoa yako, watoto wakazaliwa kumi wa kike, bado ni watoto. Unapoanza kumtafuta huyo wa kiume mtaa wa pili ndio unakutana na huyo dada asiye na ndoa and the story goes on and on.....
 
Desidii, Maty Na Dena,
hebu jiandaeni,
nataka watoto wa kiume kutoka kwenu mwaka huu,
na ole wenu mnichakachulie,
safari hii mimi ndo ntawachoma visu!!!!!!!!

hahahaaaaaaa lol mie mtoto wa kiume simtaki mwenye anataka wa kike namkaribisha

Tena hata wiki/mwezi kakae nae ila tu ukumbuke kumrudisha
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua
 
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua[/QUOTE]

Maty haendi nae kwa mkewe anampeleka kwa shangazi yake!!!!
 
Mh we dena unamuamini nini mkewe mtoto aweza rudi na matege utashaaa, ruksa kumuona lakini kumchukua mbanu! mpaka afikie umri wa kujitambua

Maty haendi nae kwa mkewe anampeleka kwa shangazi yake!!!![/QUOTE]

hapo chawa
 
Na nyie muachage kuzaa kama mbuzi. Hebu muolewe muzae na waume zenu muone kama kuna atakayewasumbua. Mnayatafuta wenyewe haya matatizo.

Aliyekwambia tumezaa nje ya ndoa ni nani? Watch your language wewe

Tambua kuwa si kila single parent amezaa nje ya ndoa...................open up your brain. C.R.A.P
 
Aliyekwambia tumezaa nje ya ndoa ni nani? Watch your language wewe

Tambua kuwa si kila single parent amezaa nje ya ndoa...................open up your brain. C.R.A.P

Ulikuwa umelala nini?? Kaniboa mimi huyu asubuhi ya leo acha tu eti sisi mbuzi
 

Mtu B............. natumaini wewe ni mtu mzima mwenye uwezo wa kufikiri. Post zako zimenikwaza nadiriki kusema hilo but nakusamehe kwani najua hujui ulisemalo. Nitakusaidia.
Wewe hapa unageneralize. Mfano niliokutolea wa kwangu ni halisi wala si hadithi. Na niliolewa nikiwa kigori tena ndoa ya heshima na takatifu kama ya wazazi wako wewe. Baada ya mwaka mmoja tukajaaliwa kupata mtoto mmoja .................na alipotimiza miezi sita tamu ya ndoa ikageuka shubiri hali iliyopelekea kutengana..mtoto ana miezi tisa!!! Baba mtu anakujamchukua.

Kwa hiyo hapo mie nimejizalisha kama mbuzi, si ndio???
Mungu na akusamehe.
 
Ulikuwa umelala nini?? Kaniboa mimi huyu asubuhi ya leo acha tu eti sisi mbuzi

Mpendwa sikuwa nimeingia humu .......dah basi tu glands zangu za hacra leo hazifanyi kazi. Nitamshauri tu! ataelewa.

Naona amesahau ule usemi wa usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
 
Mpendwa sikuwa nimeingia humu .......dah basi tu glands zangu za hacra leo hazifanyi kazi. Nitamshauri tu! ataelewa.

Naona amesahau ule usemi wa usitukane wakunga na uzazi ungalipo.

Pole ukiperuzi utaona Maty uvumilivu ulimshinda akatukana kabisa
 

Mmmhhhh
 

Ni kweli usemayo Mtu B.lakini omba MUNGU akusaidie ....una watoto angalia usijechapwa kofi na MUNGU.

Mimi ninachokuomba punguza ukali wa maneno yako, humu JF tuko wengi na wengine ni hao mabastards unaowasema and trust me.....it pains kwa sababu mtoto kama mtoto hajichagui kuzaliwa bastard............... na huyo mama mbuzi au mbwa kama unavyowaita!!
 
una maneno machafuuu sana as if ..... Anyway nisije nikatoa maneno machafu buree.

Ndio uelewe watoto hawapendi kuzaliwa katika mazingira kama ya mbwa-koko, utulie uolewe uzae wanao katika familia yako na mumeo kwenye ndoa. Mnawakosea sana haki watoto mnapowazaa na kujikuta wanaishi kama mbwa-koko, baba hajulikani eti hadi mtoto akapige simu Radio Free Africa na kujieleza maelezo mareeefu ya kumtafuta baba yake, kisa tu mamake kamficha au hata hamjui! Aibu jamani kinamama, aibu sana!
 

wewe yamekukuta ndio maana unahuzuni hivyo mimi nimelelewa na mama yangu tu na sijwahi kusikitika hata siku moja nakula maisha kwa kwenda mbele
 

Ungekua umepata malezi ya heshima usingekua unaongea maneno machafu wewe ni C.R.A.P tu RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…