Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nikupe binti yangu jirani 😜Unataka kunipa mrangi anichanganyie mdalasini na iliki jirani 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe binti yangu jirani 😜Unataka kunipa mrangi anichanganyie mdalasini na iliki jirani 😅
Baba yake ni mrangi, yaani uhame kwenye ujirani mpaka kwenye ukwilima?Nikupe binti yangu jirani 😜
mkuu najaribu kukuelewa bila shaka wewe utakuwa wa kule kaskazi ya miguu kama mikonoAfu vikabila vidogo vidogo sana ambavyo havijulikan vingine vinapatikana wapi...mtoa mada bado ana mindset ya kuwa kabila has something to do with tabia ya mtu which is ni mambo ya kale yale ya kina babu zetu wa mfecane war
Wasagara huwajui vizuri...Je kabila lako lipo au tukuache kwanza?View attachment 2952128
Hata Mimi Imenibidi NishangaeHayo makabila yote ni ya Tanzania au miksa na Malawi?
Warangi chupi mkononi.Pisi kali tz nzima 🤣🤣🤣
Ww hutaki kuzaa tutoto tuzuri jirani??
mkuu hao wanyiramba si tulishakubaliana hawana tofauti na wenzao warangi tu auBila wanyiramba kuwepo hapo hiyo list ni batili [emoji849]
Wanaishi dodoma kule kwa mtoro....nchemba dc....nimemkumbuka fadhila wangu dodomaWasandawe big tick kabisa ila kama wewe ni mambo mengi hamtawezana coz so waongeaji sana
Hapa sio kuchangamsha akili bali ni kuikaanga akili!Huo ni uoga njoo uoe warangi uchangamshe akili, achana na watu ambao wamepoa hawana amsha amsha weee viipii??
si tulishakubaliana ao wanaongoza kwa ubishi unaoaje dem mbishi na mjuajiWaha ni namba moja hapo, haina ubishi.
Fadhila wa farkwa?Wanaishi dodoma kule kwa mtoro....nchemba dc....nimemkumbuka fadhila wangu dodoma
Au mbuluTuko pamoja akitaka maisha Bora oa mrangi
Hawa Warungi (namba 2) wanapatikana Mkoa gani?Je kabila lako lipo au tukuache kwanza?View attachment 2952128