Kwahiyo sisi hujatuona au 🤒
Tabia njema au tabia mbaya ni Mali binafsi inayomilikiwa na mtu mwenyewe, Wala siyo Mali inayomilikiwa na Mikoa.Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.kilimanjaro
2.iringa
3.kigoma
4.Mara
5.mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni.... Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
🙄😂Ndaga ndaga "mbombo nkafu"
Why mkuuTupe evidence
KifoAikambee!!
Tupate uhakika mkuuWhy mkuu