Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Hayo makabila ndoa zao zina desturi ya kufa na kuzikana moja kwa moja

Jichanganye kondoa irangi, mbulu, zaramo au ndegereko usikilizie mziki
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
 
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Sasa mbona unajipinga mwenyewe
 
Hatuna la kusema mkuu "mapenzi ni ya wawili maunda zoro"
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
 
Back
Top Bottom