RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Wanawafanyaje kwani!!?Usirogwe.
Ukaona mikoa ya kusini na wewe Ni wakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawafanyaje kwani!!?Usirogwe.
Ukaona mikoa ya kusini na wewe Ni wakuja.
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.Hayo makabila ndoa zao zina desturi ya kufa na kuzikana moja kwa moja
Jichanganye kondoa irangi, mbulu, zaramo au ndegereko usikilizie mziki
Sasa mbona unajipinga mwenyeweMbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
😂Nilikua nasubiri hii kitu hapana mkuu Sina mahusiano ataAaaaah pumbavu ushawekwa kiganjani ww
Kwahiyo sisi hujatuona au
Nakazia.Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende[emoji2089]
Hatari kwa afya.6.singidani
Hata huko makwao yamejaa majumba yasiyo na watu....jichanganye sasaKuna mtaa huko mbezi nyumba nyingi zina wajane wa kutoka Kilimanjaro, yaani unakuta ni Mama na watoto ukiuliza Baba alishafariki
Ana akili ya maisha saana hapa vitu alivyonishauri tukafanya na amesimamia asikwambie mtu mambo ni bam bamSasa mbona unajipinga mwenyewe
kumbeeeHata huko makwao yamejaa majumba yasiyo na watu....jichanganye sasa
Kama ni hivyo bas enjoy ndugu yanguAna akili ya maisha saana hapa vitu alivyonishauri tukafanya na amesimamia asikwambie mtu mambo ni bam bam
Mmeshaanza maupumbavu yenu nyie wachaga, mnawashwagwa na nini kwanini msitulie? Na huo unaskini huko Rombo mbn hamtoboi na wote ni wachaga mmeoana. Acheni ulofa hiyo ni inferiority complex
na Rukwa tafadhari kuna wafipa pale ni wife material 200%Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Amina mkuuKama ni hivyo bas enjoy ndugu yangu
Ubalikiwe mfike mbali
We akibalikiwa itakuajeKama ni hivyo bas enjoy ndugu yangu
Ubalikiwe mfike mbali
Mkuu nisukumie Sasa jiko moja tuoe mkuu wasukuma tunataka kubadili damuMkuu we
na Rukwa tafadhari kuna wafipa pale ni wife material 200%
ChamechaAikambee!!
Asante sanaAmina mkuu