- Thread starter
- #41
Kuna majirani zangu ni matajiri ni wakemia by professional juices hz za viwandan nk Leo hii mmoja Ana 50 mke 47 mbona wanaish tu ikoje mkuu tuelimishane?? Ndo hao wamachameHiyo #1 hutaki kuishi?
Huoni wenzako wakisema humu hao ukioa wanakuuwa mkianza kupata mali?