Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Ukabila karne hii bado umetuganda kama ngozi! Akili na mafanikio ya mtu hayatokani na kabila lake vijana! Statistics dunia nzima zinaonyesha watu waliofanikiwa sana katika kila jamii hawazidi 1% na walifanikiwa kiasi ni 10% tu na wote hawajaoa hayo makabila, waliobaki wote tunatumikia hiyo 11% iishi inavyotaka!! Kila jamii ina watu waliofanikiwa na waliofeli big time, hata waisrael mnaowaita wana wa mungu wapo kibao makapuku wa kutupwa, sembuse hao? Mafanikio yako ni kichwani kwako kuna mawe mangapi na exposure sio unaongea lugha gani vernacular.

Msikatishe wenzetu tamaa, unaweza kuoa huko na ukaishia matopeni tu hamna formular ya maisha, anayefanikiwa bulombora hata umpeleke Australia, Ukraine, Maldives au popote duniani atafanikiwa tu hata awe mhaya, mjaluo au mzaramo. Wote ni watoto wa Mungu na dunia ni sehemu yao ya kuishi popote pale
 
Wale masikini wazawa kabisa wa...
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara na
5.Mwanza
Wao na Familia zao unawaambia nini?
 
Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza

Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃‍♂️
iringa umebugi!! wanawake wa iringa wanataka kuwa kichwa cha familia,yaani mwanaume ukubali kutawaliwa!!
 
Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza

Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃‍♂️
Ndugu yangu kigoma na mara umebugi sana mimi niko hapa kazegunga njia panda ya mwandiga huku ni Uswahili kwa kwenda mbele.ukitaka kujua wapi liko tanuri ya umbea na Majungu nakukaribisha kugoma.ungesema wanaume hao kwa kweli wanapambana sana lkn wanawake utakuta maskini.
 
Back
Top Bottom