Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
sijasema mimi mkuu, kila mtu aoe anakopendaHuko sio sehemu ya kuoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijasema mimi mkuu, kila mtu aoe anakopendaHuko sio sehemu ya kuoa.
weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopanamikoa ambayo wanawake hawafai kuolewa ni;-
1.singida
2.manyara
3.morogoro
4.pwani
5.tabora
6.tanga
7....
8....
9....
10....
RomboMchaga wa Siha, Machame au Kibosho?
😂Waluguru wako wapi chief na hawa wasambaa ni watu wawapyweka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana
NonsenseMikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Wapo wasambaa wakristo?weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana
Waluguru ni Morogoro, wasambaa wa Tanga mkuu😂Waluguru wako wapi chief na hawa wasambaa ni watu wawapy
Yatakuwa mafurushi hayo
Sasa ulitaka wababa wasife? We unategemea mwanaume akistaafu aishi miaka50? hivi unajua wanaume wanatangulia kufa kabla ya wanawake?.Kuna mtaa huko mbezi nyumba nyingi zina wajane wa kutoka Kilimanjaro, yaani unakuta ni Mama na watoto ukiuliza Baba alishafariki
Kuwa makini sana na hao watu wa kaskazini.Mkuu mbona unanitisha
Hiko kwa mbali subiri umveshe shera ndo utaelewa hiko unachoambiwa.Mchumba wangu ni mchaga kila mtu nikimuambia Mchumba wangu ni mchaga lazima agune na aniambie niwe makini, Sema kana jeuri kwa mbali japo sio sana
Kwaiyo unatugeuz vishikwambi au vp🌝😂Nilikua nasubiri hii kitu hapana mkuu Sina mahusiano ata
Kioimanjaro kuna exceptionMikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Beira Boy6.singidani
Kwanini mkuu?Usirogwe.
Ukaona mikoa ya kusini na wewe Ni wakuja.
Ulichokifanya mkuu umetuachia msala maana hapa daaa!Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Hapana dizain kama umejiroga mkuu.Maana kama unaruhusu tabia usiyo ipenda ifanyike kitandan kwako hapo naona wew ndo umejiroga.Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?