Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

mikoa ambayo wanawake hawafai kuolewa ni;-
1.singida
2.manyara
3.morogoro
4.pwani
5.tabora
6.tanga
7....
8....
9....
10....
weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana
 
weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana
😂Waluguru wako wapi chief na hawa wasambaa ni watu wawapy
 
Kuna mtaa huko mbezi nyumba nyingi zina wajane wa kutoka Kilimanjaro, yaani unakuta ni Mama na watoto ukiuliza Baba alishafariki
Sasa ulitaka wababa wasife? We unategemea mwanaume akistaafu aishi miaka50? hivi unajua wanaume wanatangulia kufa kabla ya wanawake?.
Hebu fanya utafiti kati ya babu yako au babu mzaa babu yako na bibi nani alitangulia kufa..
Mimi babu mzaa mama yangu alifariki bibi akafariki miaka 25 baadae
Babu mzaa baba yangu alifariki bibi akafariki miaka 19 baadae
Baba yangu alifariki mama yangu mzazi akafariki miaka 12 baadae
Hivi unajua sababu lakini?
Wanaume tunatabia ya kuweka machungu rohoni ndio maana hatulii hata tukifiwa mwanamke atapiga mayowe sumu yote inamtoka.
Katika mazingira ya kazi wanaume siku zote tuko mazingira magumu mfano migodini,viwandani na mashambani mwanamke anavuta hewa safi nyumbani.
Pia elewa wanaume sisi ndio wanywa pombe na kuvuta sigara.Mwanamke akifikisha miaka kuanzia miaka45 anaanza kusimamisha hedhi hivyo hiyo shughuli anasahau sisi ndio kwanza ikifika miaka 60 unatafuta dogo dogo ya kukunyoosha mgongo na unaaza kuzaa mtoto tena na bi mndogo una miaka 60 mtoto ana miezi mitatu sababu zipo nyingi tu
 
Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza

Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃‍♂️
Kioimanjaro kuna exception
 
Ul
Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza

Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃‍♂️
Ulichokifanya mkuu umetuachia msala maana hapa daaa!
 
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Hapana dizain kama umejiroga mkuu.Maana kama unaruhusu tabia usiyo ipenda ifanyike kitandan kwako hapo naona wew ndo umejiroga.
 
Back
Top Bottom