Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Ukioa mikoa ifuatayo maisha yako lazima yawe mazuri mbeleni

Formula ya maisha na ndoa sio rahisi kiasi hiki!

Siwezi kuoa mchagga hata nipewe Bure au mahali watoe wao!

Makabila mengine yalioa Wachagga hakuna rangi hawaioni!
 
Owa Zanzibar hukawii kuingia Ikulu,hiyo mikoa mingine utaambulia tu kufungua mafremu......
 
M
Mmeshaanza maupumbavu yenu nyie wachaga, mnawashwagwa na nini kwanini msitulie? Na huo umaskini huko Rombo mbn hamtoboi na wote ni wachaga mmeoana. Acheni ulofa hiyo ni inferiority complex
Mtao madam ni danga lenye digrii na gpi ya 2 .4
 
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Warangi ni nomaa utakuwa unasaidiana sana
 
Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
Kama tulivyokubaliana kitanda hakizai haramu😂 hivyo kuwa mstahimilivu tu kikubwa mtoto awe mweupe kama mama yake tu.
 
weka sababu, mbona wasambaa wako vizuri hawana shida, Wakuguru wanashida gani kwani mzee, wanyamwezi sijui, ila Wanyiramba 50 kwa 50 hata wao kwa wao waaigopana
Msambaa ukiwa na hela ndugu zako hawatakanyaga kwako😂! Ila wakwake watakuwa wanapishana daily kuja kwa shemeji.
 
Back
Top Bottom