Kuwa makini sana na hao watu wa kaskazini.
Sali sana.
Mimi hata kwa dawa siwezi oa kanda ya ziwa.Hawanaga vision ya maendeleo na pia hawana ethics za ndoa.
Yeye kumuoa mka kaa miaka hata 30 mkawa na watoto kuondoka kukuachia watoto is not a big deal.
Kanda ya kaskazini wanajali sana watoto wao tena kuliko hata mume na tena akishaona amepata mtoto wa kiume anajua hatoki alipo ni kwake na wanawe ndio maana mnawaogopa.
Uzuri wa kaskazini ni wapiganaji mno hawana aibu ya kutafuta maisha hasa mumewe akifariki.
Ulishaona wapi mwanamke wa kaskazini kafiwa na mumewe akawa omba omba kama makabila mengine.Atafanya hata biashara ya mama ntilie japo kupika mungu amewanyima kwa kweli.wao ni michemsho kwenda mbele.
Ni wape mfano tajiri wa Arusha miaka ile mama Maeda alifiwa na mume kwa ajali ya gari mwaka 1967 na walikuwa na mabasi ya kutoka Arusha kwenda Nairobi mumewe alivyokufa tu mama kakamata usukani wa biashara mabasi yakaongezeka yalikuwa yanaitwa Kilimanjaro Bus Service(KBS).Huyu mama alikuwa jembe akiona dereva kachelewa kuja anaingia garini anakamata basi hadi Nairobi.Baadae alibadilisha biashara ikawa ya mahoteli ya kitalii.Raisi Nyerere ameshawahi mpa ulinzi alivyokuwa anasumbuliwa na ndugu wa mumewe juu ya mali japo kanda ya kaskazini sio common.
Kanda ya kaskazini wana matabaka msidhani wote wanafanana kwa tabia liko tabaka moja ndio liliharibu sifa za matabaka mengine.
Ukioa mkoa wa kaskazini lile kabila waume zao walevi mno hawafanyi kazi hadi wanaume wa Kenya wakawa wanawasaidia umepata mke trekta la Valmet chapa kazi.
Angalizo
**Ukitaka kupetiwa petiwa i love you darl kwa mahaba usijaribu kuoa kaskazini hiyo fani hawana na ndio maana hawanaga jando na unyago.Ila ukitaka maendeleo oa mkoa huo
**Ukitaka kubebwa mgongoni kwenda kuogeshwa oa mikoa ya waja leo warudi leo.
**Ukitaka mapishi kama wewe mpenda kula kula vizuri nenda ule mkoa wenye historia kubwa nchi hii kwa elimu kuanzia huko hata baba wa Taifa alisoma huko ambapo wao wakadharau elimu sababu Mwarabu alitawala huko.Wanakula ugali kwa asali.
**Kama wewe ni boncer mdundaji unataka kuoa nenda kaoe ule mkoa ambapo mwanamke usipompiga anahadithia wenzake mume wangu hanipendi ataweka chai hata chumvi ili umpige tu afurahi.
**Ukitaka ukienda kazini ukimpa kisogo mke anaingiza mtu mwingine oa kulee mlango wa Beira boy.
**Ukitaka bora mwanamke na bahili wa mahari nenda ule mkoa ambapo hata Jogoo unapewa mke kule chini kabisa matakoni mwa nchi ya Tanzania.
**Ukitaka mke mwenye gubu mbishi kila saa kunung'unika nenda oa lile kabila ambapo wanaume zao ni wabishi sana na wanajifanya kila kitu wanajua na wana akili kuliko wanaume wengine japo kakabila kao ni kadogo.Anakotoka yule mjamaa wakati wa utawala flani alikuwa anajikomba sana kwa kiongozi mkuu akawa na kigazeti chake na akawa anatukana viongozi wengine akaja pigwa faini sasa amenyamaza kama maji ya mtungi.
**Ukitaka kuoa mwanaume mwenzako hapa namanisha ukizubaa kidogo mwanamke anakuwa juu yako hata anaweza kukudunda nenda ule mko wa kuliko ungua shoka ikabaki mpini.Wasio wahenga hawataelewa usemi huu niwarahishie.Ule mkoa ambao umepata hadhi ya jiji hivi karibuni una wasomi lakini walipata kashifa ya kuchuna watu ngozi na usomi wao una makanisa mengi mno na kanisa la Moravian lilianzia huko uko mpakani na Zambia
Anyway idea yangu ni kufurahishana kwenye group na ndio maana sitaji makabila moja kwa moja kutokushushia hadhi makabila ya watu ila kiukweli hakuna kabila lisilo na tabia Mke mzuri omba mungu atakupa kuchagua sana nako utapata nazi koroma