Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Kwa nini? Hebu justify sababu za hii conclusion yakomikoa ambayo wanawake hawafai kuolewa ni;-
1.singida
2.manyara
3.morogoro
4.pwani
5.tabora
6.tanga
7....
8....
9....
10....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini? Hebu justify sababu za hii conclusion yakomikoa ambayo wanawake hawafai kuolewa ni;-
1.singida
2.manyara
3.morogoro
4.pwani
5.tabora
6.tanga
7....
8....
9....
10....
Kuoa inategemea na interest zako binafsi. Kama unatafta comfort na mapenzi kwa mke basi oa makabila ambayo wako sophisticated kwenye mapenzi kama makabila ya pwani pwani. Tanga hadi Bagamoyo yote hio unashuka nayo hadi Lindi kuelekea Mtwara.Mkuu upo sahihi sana nimekaa na mwanamke wa kichaga kupika. Na usafi kweli ni shida Ila kwenye swala la kusaka pesa wako vizuri ilo nakubali
Mimi kwetu ni kanda Ya ziwa ubaya wa hawa wanawake wetu huku kanda ya ziwa ni "ushamba" kosa tu akishajua Abc kazaa kazaa ambazo alikuwa hajawah kuzionja hapo ndo tatizo
Swala kuacha mtoto ni si kweli hakuna kabila ambalo mwanamke anaweza kutelekeza hiyo ni tabia ya mtu mmoja mmoja
NantombeeAikambee!!
Tanzania NgumuAiseeh!
Ila wachaga mwanangu historia zao zinatosha mkuu Yan Ata wale marafiki zangu wa kike wazazi wao wa kiume weng hawapoKuoa inategemea na interest zako binafsi. Kama unatafta comfort na mapenzi kwa mke basi oa makabila ambayo wako sophisticated kwenye mapenzi kama makabila ya pwani pwani. Tanga hadi Bagamoyo yote hio unashuka nayo hadi Lindi kuelekea Mtwara.
Kama unataka serious partner anaeweza kuivaa nafasi yako hata ukiwa haupo oa kaskazini. They are very resilient and strong katika maisha ila hawavumilii uzembe. Ukiwa mwanaume hujielewi na huna vision huwezi kudumu na partner wa mikoa hii lazma utatemwa tu. Mapenzi na mahaba kwao sio kipaumbele so huwezi kufurahia comfort japo sio kaskazini yote. Wale akina "Namnani" inasemekana wao kugusanisha kwao ni mchezo wao pendwa so hawasumbuagi kama "Shimboni shafo"
SanaTanzania Ngumu
Upo sahihi japo sio wachaga wote.Formula ya maisha na ndoa sio rahisi kiasi hiki!
Siwezi kuoa mchagga hata nipewe Bure au mahali watoe wao!
Makabila mengine yalioa Wachagga hakuna rangi hawaioni!
Kigezo kipi umetumia kusema hayaa yoteMikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Kwa reply za wadau kuhusu kabila la ukweni dah😂We ni wa mavumbini mzee, kunywa bia zako za mwisho mwisho 😄
🤣RIP ndugu nitangulize salamu za rambi rambi kwakoKwa reply za wadau kuhusu kabila la ukweni dah😂
Sijui kama nitatoboa maana!
Tuandikie urithi tu wana jfKwa reply za wadau kuhusu kabila la ukweni dah😂
Sijui kama nitatoboa maana!
Wamakua na wamakonde wanalojibu.Mbona mikoa ya kusini wanaume wenye Mali hufa mapema kuliko wake zao ?
Huku mwanamke ndiye kichwa Cha familia.Kwanini mkuu?
Never siwezi kubaliHuku mwanamke ndiye kichwa Cha familia.
Je upo tayari? Kuongozwa na Unpredictable personnel ?🤔🤔🤔
Shangaaa mwaisaKwahiyo sisi hujatuona au 🤒
SepaMchumba wangu ni mchaga kila mtu nikimuambia Mchumba wangu ni mchaga lazima agune na aniambie niwe makini, Sema kana jeuri kwa mbali japo sio sana
Wanawake wengi 60+ ni wajaneWamakua na wamakonde wanalojibu.
Huku mwanamke ndiye kichwa Cha familia.[emoji3][emoji3][emoji3]
Atakuwa ni nyoka kabsaa huyo.Mbna mimi nina mrangi wangu lakini ana akili ya maisha balaa sema dah! Kwenye simu hajambo kuchati hadi saa saba za usiku sijui anachati na akina nani.
Sema sisi tushajiwekea utaratibu hakuna kugusa simu ya mwenzako ila roho inaniuma hatari maana yeye saa 12 asbhi sms zinaanza kuingia.
Tatizo uzuri wake na uweupe wake wanichanganya au mwenzenu ndo nsharogwa hvo?
🙄🙄🙄🙄🙄🙄Atakuwa ni nyoka kabsaa huyo.