Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

kwani yeye ni mtoto
Oooh watoto hawaruhusiwi mahusianooo..anaekubali mkataba wa mahusiano fulani ya wawili basi asionyeshe dalili wala ishara wala jitihada binafsi wala tamaa yoyote wala kupitiwa na shetani kuruhusu ushawishi au upenyo au ukaribu au chombezo au kujifurahisha na mtu wa tatu ambaye anaweza kile mtu wa kwanza na wa pili mnakifanyaga[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaani wanaume wa namna hiyo wanakuwaga hawajiamini na wanaona ukiwa tegemezi ndo ataweza kukucontrol vizuri jmn wanawake wenzangu msije mkathubutu kuacha kazi kwa sababu mwanaume kasema uache
Na nyie wanaume kama unaona kuwa na mwenza msomi mwenye kazi yake inakupunguzia kujiamini kwako, hujalazimishwa kuwa nae, umuoe afu uje kumwambia aache kazi hapana, tafuta wanawake majobless mbona wapo kibao na umwambie umempendea ujobless wake ili umpelekeshe vizuri
Imagine marrying a woman who really saying this[emoji848]
 
Yaani acha tu.

Unamkuta mwanaume amekukuta unafanya kazi bank, mshahara wako mzuri tu. Anakuonesha mapenzi ya kweli unasema mwanaume si ndo huyu. Hajawahi kugusia kwamba nikikuoa utaacha kazi, hakupangii marafiki wala nini na amekukuta unaishi vizuri na ndugu zako na rafiki zako. Umezoea unajinunulia nguo zako na vitu kama hivyo.

Sasa subiri akuoe. Anaanza. Mi sipendi pale unapofanyia kazi, sasa unamuuliza kwanini kipindi tupo kwenye uchumba hukuwahi kusema kwamba hupendi ofisi yangu na hutamani nifanye kazi hapa ili nijue kama ntaweza kuishi
Na wewe au la. !! Kwanini usubiri unioe ndo uniachishe kazi. Unakuta mtu anakwambia mi staki hiki staki kile na kipindi cha uchumba hakuwahi kusema hivyo vyote.

Kakukuta una gari, una viwanja anataka na yeye majina yake
Yawepo kwenye hivyo viwanja. Hivi huwa shida ni nini? Af wanaume wa hivyi
Wanaenda kutangaza mwanamke msomi mjeuri. Sasa kwanini usingeenda kuoa wa darasa la saba? Mimi
Nna familia nasaidia vitu vidogo umenikuta nawahudumia na hata mia yako sijawahi kukuomba. Unanioa unaanza kunipangia na hata nikiacha kazi unaanza manyanyaso ukiomba hela yaani utaulizwa ya nini. Hadi uje na
Proposal kama unaomba funds UN. Aisee wanaume kwani wanawake huwa wanaomba sana muwaoe? Mbona mnawatreat kama they are desperate in getting married? Umemkuta mtu ana mfumo wake na unajijua we ni mtemi muache tafuta kingedere chako ukipelekeshe
Chakushangaza wapo wanaoshinda vibarazani wanatafuta wakuwaoa si wawaoe hao? Sasa unamkuta mtu na maisha yake Baba yake kawekeza hapo, ila anataka kumuachisha kazi, kama umekutwa kazi yako ndugu kuacha kisa huyu mliyekutana naye ukubwa? Lazima kuwa na roho ngumu sana.
 
mahusiano si vita yani ukiona mambo hayaendi bila kutumia nguvu kama ivo ujue hamna kitu apo... unalazimisha mapenzi
Hamna upendo mrahisi mrahisi, ukitaka kuhakiki tafuta mtu anaetaka mahusiano marahisi hivo nunua notebook na kalamu andika tarehe kama mkimaliza miezi mitatu yeye hajaanza mahusiano mapya zaidi yako jua huyo mtu ni malaika.
 
Manipulators katika mahusiano;

Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.

Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.

Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.

Vipi mmeshawahi kukutana nao?

Na maranyingi ni wale wenye kazi mbofumbofu kabisa au hakuna kabisa au yamawazo [emoji3][emoji12][emoji12] hivyo anajua huko lazima ukamwagilie moyo ha ha ha
 
Chakushangaza wapo wanaoshinda vibarazani wanatafuta wakuwaoa si wawaoe hao? Sasa unamkuta mtu na maisha yake Baba yake kawekeza hapo, ila anataka kumuachisha kazi, kama umekutwa kazi yako ndugu kuacha kisa huyu mliyekutana naye ukubwa? Lazima kuwa na roho ngumu sana.
Si ndo apo. Na ndo wanashinda mitandaoni kusema mwanamke msomi mjeuri. Sasa mwanamke hujamsomesha na umemkuta ana maisha yake kwanini umpangie kwanini usingempa masharti kabla hujamuoa ili ajipime kama mnawezana
 
Yaani wanaume wa namna hiyo wanakuwaga hawajiamini na wanaona ukiwa tegemezi ndo ataweza kukucontrol vizuri jmn wanawake wenzangu msije mkathubutu kuacha kazi kwa sababu mwanaume kasema uache
Na nyie wanaume kama unaona kuwa na mwenza msomi mwenye kazi yake inakupunguzia kujiamini kwako, hujalazimishwa kuwa nae, umuoe afu uje kumwambia aache kazi hapana, tafuta wanawake majobless mbona wapo kibao na umwambie umempendea ujobless wake ili umpelekeshe vizuri
Nashangaaga sana yani. Na wanakazana kabisa kusema huyu mwanamke mjeuri. Oh haniskilizi. Sasa usingemuoa
 
Htaki kuingiliwa kaa kwenu. Ukienda kwa mtu lazima ufuate utaratibu wa huyo mtu. Hamtaki kaeni kwenu ili muendelee kuwa huru
Kwani ulipokua unamtongoza binti hukujua ana fanya kazi? Au ana misimamo
Flani? Kwanini umuoe ndo umuachishe kazi? Kwanini usimwambie mimi
Nakuoa ila utaacha kazi unifulie nguo nyumbani.
 
Wanawake wajinga sana wanataka waishi kibachelor ingali amekubali kuwa wawili hiyo inawezekana kwa mpumbavu tuu. Shwain zao
Sasa kama wanawake ni wajinga mnawaoa wa kazi gani? Mtafute wa darasa la saba umuweke ndani akuiniamishie kichwa kama boza
 
Njia pekee ya kutokuingiliwa uhuru wako ni kukataa mahusiano ikiwemo ndoa.

Ukishaolewa au uko na mwanaume kubali tu lazima nitakupangia hutaki ondoka, wanaume tumeumbwa ivo.

Ukiona huwezi tuachane ila 100% hakuna mwanaume ataacha kukupangia labda awe kaolewa nawewe na hana akili hata moja kichwani
Umemkuta mtu ana kazi kwanini usimwambia kabla hujamuoa kuwa ukimuoa utamuachisha kazi? Unasubiri umuoe ndo umuachishe kazi na pesa humpi huwa mnawaza nini
 
Yaani acha tu.

Unamkuta mwanaume amekukuta unafanya kazi bank, mshahara wako mzuri tu. Anakuonesha mapenzi ya kweli unasema mwanaume si ndo huyu. Hajawahi kugusia kwamba nikikuoa utaacha kazi, hakupangii marafiki wala nini na amekukuta unaishi vizuri na ndugu zako na rafiki zako. Umezoea unajinunulia nguo zako na vitu kama hivyo.

Sasa subiri akuoe. Anaanza. Mi sipendi pale unapofanyia kazi, sasa unamuuliza kwanini kipindi tupo kwenye uchumba hukuwahi kusema kwamba hupendi ofisi yangu na hutamani nifanye kazi hapa ili nijue kama ntaweza kuishi
Na wewe au la. !! Kwanini usubiri unioe ndo uniachishe kazi. Unakuta mtu anakwambia mi staki hiki staki kile na kipindi cha uchumba hakuwahi kusema hivyo vyote.

Kakukuta una gari, una viwanja anataka na yeye majina yake
Yawepo kwenye hivyo viwanja. Hivi huwa shida ni nini? Af wanaume wa hivyi
Wanaenda kutangaza mwanamke msomi mjeuri. Sasa kwanini usingeenda kuoa wa darasa la saba? Mimi
Nna familia nasaidia vitu vidogo umenikuta nawahudumia na hata mia yako sijawahi kukuomba. Unanioa unaanza kunipangia na hata nikiacha kazi unaanza manyanyaso ukiomba hela yaani utaulizwa ya nini. Hadi uje na
Proposal kama unaomba funds UN. Aisee wanaume kwani wanawake huwa wanaomba sana muwaoe? Mbona mnawatreat kama they are desperate in getting married? Umemkuta mtu ana mfumo wake na unajijua we ni mtemi muache tafuta kingedere chako ukipelekeshe
Acha kudate na watoto walamba lips na wanyoa viduku
 
Umemkuta mtu ana kazi kwanini usimwambia kabla hujamuoa kuwa ukimuoa utamuachisha kazi? Unasubiri umuoe ndo umuachishe kazi na pesa humpi huwa mnawaza nini
Ishu sio kazi, shida wanawake mnashindwa kuelewa, ukiwa kazin fanya ya kazini na ukiwa nyumbani kuwa mke kwa mumeo na mama kwa watoto wako, tatizo mnaleta ukurugenz wenu hadi nyumban, hakuna mwanaume atakayekubali. Ila km unaheshimu ndoa vizuri na humvunjii heshima na bado anataka uache kazi, hao ndo wavulana sasa anataka akupelekeshe, wanaume wa hivyo ni wa ovyo na wapuuzi.
 
Manipulators katika mahusiano;

Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.

Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.

Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.

Vipi mmeshawahi kukutana nao?


Pole mrembo,hatuko hivyo...
Huyo uliyekutana naye ni shetani
 
Back
Top Bottom