Miaka 20 kwani ni kijana tena ? Kwa sasa umri wa mtanzania kuishi ni miaka 40 mkuu , pia na wewe ni mzee[emoji847]nina miaka 20 mkuu lakini barabarani 'shikamoo anko' zimekua nyingi sana
hii imekaaje mkuu inanipa mawazo
Jamani jamani...Bora wewe mimi nimekufa kabisa[emoji16]
😁😁Jamani jamani...
Hizi indicators ni hatarii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiii inchi ukifa kwa mawazo umejitakiaAlafu ikifikia hatua unazipuuza ujue uzee umepamba moto.
Yani sijuw ni Uzee au ndio Utoto Yani nikimtunuku Mwanaume anisuguwe kote kote basi siwez rudia nae tena[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Wakuu mpo Salama!
Kuna Watu hawajui kuwa namna uzee unavyoingia. Sio ajabu wameshaingia uzee lakini hajui au hawana uhakika.
Sasa hizi ni moja ya dalili kuu zinazoashiria kuwa unaingia katika uzee.
1. Kufananisha Watu au Mahali au matukio.
Kuna ile ukimuona mtu unafikiri ulimuona wapi hata kama hujawahi kumwona kabisa. Hali hiyo ukianza kuiona jua huo ndio mwanzo kabisa wa uzee. Mara nyingi hali hiyo huanza mtu akiwa na miaka 25.
Kadirii unavyokua ndio hali hiyo inazidi.
Hiyo ni kupoteza kumbukumbu.
Kuna ile upo sehemu ambayo ndio siku ya kwanza umefika lakini unajiona kama uliwahi kufika eneo hilo. Huo ndio uzee wenyewe [emoji2].
Au unafanya tukio lakini unaona uliwahi kulifanya lakini haukumbuki vizuri.
Huo ndio uzee wenyewe umegonga mlango.
Hali hizo husababishwa na wingi wa majukumu na akili kuwa na mambo mengi.
2. Kupoteza Interest na Ishu za Muziki na waigizaji.
Yaani ukiwaona wanamuziki unaona kama wanafanya mambo ya kitoto.
Kwa upande wangu hali hiyo ilinipata tangu nikiwa ninamiaka 22. Yaani nikiona mwanamuziki au muigizaji namchukulia kama mtoto. Sipo interest naye na sanaa yake.
Kikawaida wazee hawapendi Entertainment, kuintateiniwa, kuchezewa drama au vitu vyote vya akili nyepesi na uzee haviendi.
Ukiona unapunguza kukaa kwenye Luninga hata wakati ukiwa na muda labda ni weekend au umetoka kazini lakini huwezi kuangalià muziki au maigizo jua uzee unakunyemelea.
Ishu za Entertainment ni za vijana hasa vijana ambao bado hawana majukumu.
3. Majibu mafupi na hutaki Fujofujo au Ligi.
Kikawaida maisha yalivyo yapo kwaajili ya kukutuliza, kuku- Neutralise. Yaani kukufanya uwe mpole. Utaanza kwa mbwembwe kutokana ni damu changa na bado maisha hayakupiga katafunua Ambakati moja matata.
Lakini ukishaona unamajibu mafupi na hautaki ligi na upo tayari kushindwa kama haidhuru. Ujue uzee ndio huo sasa.
Itafikia hatua mpaka Nzi utamuacha akufanye vile atakavyo[emoji4].
4. Kuwa Jeshi la mtu Mmoja.
Uzee unakuja na mikwaju mikali itakayokufanya ujikute upo pekeako.
Ujana utakuwa ni mtu wa marafiki wengi lakini ukishaona mara kwa mara unakuwa pekeako na unafanya mambo mwenyewe mwenyewe. Yàani jeshi la mtu mmoja basi elewa uzee ndio huo unakuta.
Kwa sisi ambao tumekaa na wazee tumeona maisha yao tunajua pale ambapo mtu uzee unamuanza.
Uzee huanza ukiwa na miaka 25. Siku utakayoanza kujiona upo mpweke, basi elewa kuwa upo kwenye hatua za awali za uzee. Hivyo utajaribu kuudhibiti kwa Kuoa na kuwa na familia. Lakini utakuwa haujaudhibiti zaidi ya kuuzuga tuu.
5. Kutaka Umoja ambao hauwezekaniki.
Uzee na utoto umetenganishwa na Ujana.
Hivyo uzee na utoto kwa kiasi kikubwa kuna sifa zinaingiliana.
Watoto hupenda umoja, kufanya vitu kwa pamoja. Lakini kwenye ujana vitu vya pamoja na umoja hakuna kwani kila mtú anajiona ananguvu na anauwezo wa kufanya mwenyewe.
Ukishaona kwenye ukoo wenu wewe unataka na kutamani familia yenu muwe na umoja, mpendane na mshirikiane. Basi elewa huo ndio uzee wenyewe
Acha Nipumzike kwanza.
Maana uzee umeniingia.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaaani mimi huwa nachanganya majina ya watoto kama sio wangu!!hiii sio uzeee!!ni kuwa busy Sana na KAZI pia kichwa kuchoka7. Kuchanganya majina ya watoto, Hamisi unamwita Mwanahamisi, Hussein unamwita Husna, Julius unamwita Juliana nk
Bado hujajua maana ya 'Uzee'...Uzee huanza ukiwa na miaka 25. Siku utakayoanza kujiona upo mpweke, basi elewa kuwa upo kwenye hatua za awali za uzee. Hivyo utajaribu kuudhibiti kwa Kuoa na kuwa na familia. Lakini utakuwa haujaudhibiti zaidi ya kuuzuga tuu.
Na huo si uzee,huyu mleta mada anahoja nzuri ila kakosa taarifa muhimu au kazipuuza kwa makusudi...kuna utoto,ujana,utu uzima na uzee. Uzee ni miaka 60 kuendelea,chini ya hapo ni utuuzima hadi around 45. So huwezi sema mtu wa miaka 47 ni mzee. Hata miaka around 40 ni ujana badoUkiwa uzee unaanza na miaka 25, Ujana unaanza lini na kuisha lini?
Nadhani uzee unaanza na miaka 40!
kwahivyo haya mamvi yanayowazonga ndrugo wanachuo na watu mbalimbali hapo mtaani wajione tu kwamba ni wazee vijana na sio uzee unawazonga? 🐒Wakuu mpo Salama!
Kuna Watu hawajui kuwa namna uzee unavyoingia. Sio ajabu wameshaingia uzee lakini hajui au hawana uhakika.
Sasa hizi ni moja ya dalili kuu zinazoashiria kuwa unaingia katika uzee.
1. Kufananisha Watu au Mahali au matukio.
Kuna ile ukimuona mtu unafikiri ulimuona wapi hata kama hujawahi kumwona kabisa. Hali hiyo ukianza kuiona jua huo ndio mwanzo kabisa wa uzee. Mara nyingi hali hiyo huanza mtu akiwa na miaka 25.
Kadirii unavyokua ndio hali hiyo inazidi.
Hiyo ni kupoteza kumbukumbu.
Kuna ile upo sehemu ambayo ndio siku ya kwanza umefika lakini unajiona kama uliwahi kufika eneo hilo. Huo ndio uzee wenyewe 😃.
Au unafanya tukio lakini unaona uliwahi kulifanya lakini haukumbuki vizuri.
Huo ndio uzee wenyewe umegonga mlango.
Hali hizo husababishwa na wingi wa majukumu na akili kuwa na mambo mengi.
2. Kupoteza Interest na Ishu za Muziki na waigizaji.
Yaani ukiwaona wanamuziki unaona kama wanafanya mambo ya kitoto.
Kwa upande wangu hali hiyo ilinipata tangu nikiwa ninamiaka 22. Yaani nikiona mwanamuziki au muigizaji namchukulia kama mtoto. Sipo interest naye na sanaa yake.
Kikawaida wazee hawapendi Entertainment, kuintateiniwa, kuchezewa drama au vitu vyote vya akili nyepesi na uzee haviendi.
Ukiona unapunguza kukaa kwenye Luninga hata wakati ukiwa na muda labda ni weekend au umetoka kazini lakini huwezi kuangalià muziki au maigizo jua uzee unakunyemelea.
Ishu za Entertainment ni za vijana hasa vijana ambao bado hawana majukumu.
3. Majibu mafupi na hutaki Fujofujo au Ligi.
Kikawaida maisha yalivyo yapo kwaajili ya kukutuliza, kuku- Neutralise. Yaani kukufanya uwe mpole. Utaanza kwa mbwembwe kutokana ni damu changa na bado maisha hayakupiga katafunua Ambakati moja matata.
Lakini ukishaona unamajibu mafupi na hautaki ligi na upo tayari kushindwa kama haidhuru. Ujue uzee ndio huo sasa.
Itafikia hatua mpaka Nzi utamuacha akufanye vile atakavyo😊.
4. Kuwa Jeshi la mtu Mmoja.
Uzee unakuja na mikwaju mikali itakayokufanya ujikute upo pekeako.
Ujana utakuwa ni mtu wa marafiki wengi lakini ukishaona mara kwa mara unakuwa pekeako na unafanya mambo mwenyewe mwenyewe. Yàani jeshi la mtu mmoja basi elewa uzee ndio huo unakuta.
Kwa sisi ambao tumekaa na wazee tumeona maisha yao tunajua pale ambapo mtu uzee unamuanza.
Uzee huanza ukiwa na miaka 25. Siku utakayoanza kujiona upo mpweke, basi elewa kuwa upo kwenye hatua za awali za uzee. Hivyo utajaribu kuudhibiti kwa Kuoa na kuwa na familia. Lakini utakuwa haujaudhibiti zaidi ya kuuzuga tuu.
5. Kutaka Umoja ambao hauwezekaniki.
Uzee na utoto umetenganishwa na Ujana.
Hivyo uzee na utoto kwa kiasi kikubwa kuna sifa zinaingiliana.
Watoto hupenda umoja, kufanya vitu kwa pamoja. Lakini kwenye ujana vitu vya pamoja na umoja hakuna kwani kila mtú anajiona ananguvu na anauwezo wa kufanya mwenyewe.
Ukishaona kwenye ukoo wenu wewe unataka na kutamani familia yenu muwe na umoja, mpendane na mshirikiane. Basi elewa huo ndio uzee wenyewe
Acha Nipumzike kwanza.
Maana uzee umeniingia.
Ooooo6o. Kusalimiwa Salaam ya shikamoo kila mara.
Kikawaida wazee hawapendi Entertainment,
Wazee wa hovyo wapoPoints nne umepatia lakini namba 2 umekosea...mi ni mzee wa miaka 50 lakini sikosi live band makumbusho, oldskool disko pale Ada Estate, hata pale Rotana kwa mzee Kisauji huwa sikosi...na napenda kulamba waigizaji wa kike.....kwenye gari langu nimefunga mziki mnene na napiga mziki wa aina zote, na nyumbani pia
😅[emoji23][emoji23][emoji23] yaaani mimi huwa nachanganya majina ya watoto kama sio wangu!!hiii sio uzeee!!ni kuwa busy Sana na KAZI pia kichwa kuchoka
🤣🤣🤣Hapo kwenye kutaka umoja ndio kwenyewe kabisa kuna dingi yangu mmoja maisha yake yote alijitenga na watu sasa amezeeka ndio anataka umoja eti watu tupendane...
🤣🤣🤣6. Kusalimiwa Salaam ya shikamoo kila mara.