Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Mkuu ni Ibada, Ibada, Ibada.[emoji3][emoji3]
Sasa utafanya nini?
Nafanya Toba Kwanza kwa Mabaya nilio/niliyo tanguliza.
Kifupi Dunia nimeipiga "TEKE". [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni Ibada, Ibada, Ibada.[emoji3][emoji3]
Sasa utafanya nini?
Yani sijuw ni Uzee au ndio Utoto Yani nikimtunuku Mwanaume anisuguwe kote kote basi siwez rudia nae tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu ikifikia hatua unazipuuza ujue uzee umepamba moto.
Kula chuma icho.Points nne umepatia lakini namba 2 umekosea...mi ni mzee wa miaka 50 lakini sikosi live band makumbusho, oldskool disko pale Ada Estate, hata pale Rotana kwa mzee Kisauji huwa sikosi...na napenda kulamba waigizaji wa kike.....kwenye gari langu nimefunga mziki mnene na napiga mziki wa aina zote, na nyumbani pia
Sasa mimi ninayezidai nawekwa fungu gani?Alafu ikifikia hatua unazipuuza ujue uzee umepamba moto.
Hiyo ni dadili nzuri ya utu uzima!Kitambo uko nilikua napenda sana gari iwe na sound kubwa hadi walioko nje wakereke,lakini sasa sipendi hata kusikiliza redio nikiwa kwenye gari,juzi kati nikiwa peke yangu nilisafiri umbali wa zaidi km 150 sikuwasha redio safari yote,uzee huu hapa aisee 🤔
Mkuu ni Ibada, Ibada, Ibada.
Nafanya Toba Kwanza kwa Mabaya nilio/niliyo tanguliza.
Kifupi Dunia nimeipiga "TEKE". [emoji23][emoji23]
Wazee wenzangu mupooo haaa haaa
Kwa hoja hizi Nimezeeka muda tu.