Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

Points nne umepatia lakini namba 2 umekosea...mi ni mzee wa miaka 50 lakini sikosi live band makumbusho, oldskool disko pale Ada Estate, hata pale Rotana kwa mzee Kisauji huwa sikosi...na napenda kulamba waigizaji wa kike.....kwenye gari langu nimefunga mziki mnene na napiga mziki wa aina zote, na nyumbani pia
Kula chuma icho.
 
Kitambo uko nilikua napenda sana gari iwe na sound kubwa hadi walioko nje wakereke,lakini sasa sipendi hata kusikiliza redio nikiwa kwenye gari,juzi kati nikiwa peke yangu nilisafiri umbali wa zaidi km 150 sikuwasha redio safari yote,uzee huu hapa aisee 🤔
Hiyo ni dadili nzuri ya utu uzima!
 
Back
Top Bottom