Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzee ni kuanzia miaka sittin tu
Wazee waoga wa ku risk jambo lolote au kufaSio poa
Yaaani kwenye hili nami naunga mkono, yaaani nikiingia kwenye gari nikiliwasha tu nazima redio faster, kumbe ni safari ya uzee dooooh na kweli kabla nilikuwa napenda muziki Sana.Kitambo uko nilikua napenda sana gari iwe na sound kubwa hadi walioko nje wakereke,lakini sasa sipendi hata kusikiliza redio nikiwa kwenye gari,juzi kati nikiwa peke yangu nilisafiri umbali wa zaidi km 150 sikuwasha redio safari yote,uzee huu hapa aisee [emoji848]
[emoji16]Sidaiwi mia ile,mimi ndio nawadai,leo tu nimetoka kumtia mtu roba mpaka kapunguza pesa ninayomdai
Kuskiza Dira ya dunia ,kutazama TBC
Ni mtazamo wake.Ukiwa uzee unaanza na miaka 25, Ujana unaanza lini na kuisha lini?
Nadhani uzee unaanza na miaka 40!
utakua mzimu mkuu😄😄😄, Ukweli mchungu huu..., dah baada ya kufariki, sijui nitaenda mbinguni, sijui nitaenda kuzimu au nitabaki kuwa chakula cha wadudu ardhini.. 😰😰😰.
Bora niwe mzimu aise.... Mzimu wa ukoo 😋😋utakua mzimu mkuu
maana yake umeshazeeka, huna miaka mingi kazini , anza kuweka sawa pension na akibaMzee wangu alifariki na miaka 47, mwaka 1997… hapo walikuwa wanamwita Mzee fulani. Ila saiv nikiangalia wanaume wa miaka 47-50 mbona sio wazee kama alivyokuwa mzee wangu enzi hizo? Sielewi…
Kingine nilivyokuwa teenager nilikuwa nawaona watu wenye miaka 40-45 ni wazee au umri umeenda ila saiv mimi nina 40 hivi ila bado najiona kijana… Sielewi!
Na jamii inayokuzunguka ikikutazama inaexpect nini kutoka kwako?Mzee wangu alifariki na miaka 47, mwaka 1997… hapo walikuwa wanamwita Mzee fulani. Ila saiv nikiangalia wanaume wa miaka 47-50 mbona sio wazee kama alivyokuwa mzee wangu enzi hizo? Sielewi…
Kingine nilivyokuwa teenager nilikuwa nawaona watu wenye miaka 40-45 ni wazee au umri umeenda ila saiv mimi nina 40 hivi ila bado najiona kijana… Sielewi!
Sasa mimi nilivyokuwa na miaka 26 nilikutana na mmiliki fulani wa mabasi maarufu hapa Tanzania akawa anamtania mwenzake ambaye ndo alikuwa kaanza biashara ya mabasi kuwa kachelewa kupata pesa.. hapo jamaa alikuwa na miaka 38. Mimi leo nina miaka 38 hata robo ya hela ya kununua basi sina. Halafu naona ni kama juzi tu.Mzee wangu alifariki na miaka 47, mwaka 1997… hapo walikuwa wanamwita Mzee fulani. Ila saiv nikiangalia wanaume wa miaka 47-50 mbona sio wazee kama alivyokuwa mzee wangu enzi hizo? Sielewi…
Kingine nilivyokuwa teenager nilikuwa nawaona watu wenye miaka 40-45 ni wazee au umri umeenda ila saiv mimi nina 40 hivi ila bado najiona kijana… Sielewi!
umekwisha ndio maana umeamua uwe chawa tuuSasa mimi nilivyokuwa na miaka 26 nilikutana na mmiliki fulani wa mabasi maarufu hapa Tanzania akawa anamtania mwenzake ambaye ndo alikuwa kaanza biashara ya mabasi kuwa kachelewa kupata pesa.. hapo jamaa alikuwa na miaka 38. Mimi leo nina miaka 38 hata robo ya hela ya kununua basi sina. Halafu naona ni kama juzi tu.
Unajua robo ya hela ya kununua basi jipya?umekwisha ndio maana umeamua uwe chawa tuu
Kila nikiwa nasafiri kwenye gari katika abiria wote , mzee nakuwa pekeyangu.Yaani Ni mzee hadi nimepitiliza.Ukiona konda anadai nauli anakwambia "hapo mjomba" badala ya "hapo braza"..
Ujue tayari mbingu ishatua