Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

Kumbe na wewe mjinga kama baba yako! Muda wote waingereza walikuwa wanasuasua kutimiza makubaliano kwani walidharau walifikiri kuwa serikali ya Zimbabwe ilikuwa haina options mpaka pale mashamba yalipotaifishwa !!
Umeelewa wewe mpumbavu.
Mugabe aliitumia vibaya elimu yake kuibomoa nchi yake.Aliwapokonya mashamba wananchi wake wenye uwezo wa kulima kisasa kwa kutumia mashine akawapa maswaiba zake wasioweza kulima hata kwa jembe la mkono,wakayaua mashamba uchumi ukafa.
 
Mugabe aliitumia vibaya elimu yake kuibomoa nchi yake.Aliwapokonya mashamba wananchi wake wenye uwezo wa kulima kisasa kwa kutumia mashine akawapa maswaiba zake wasioweza kulima hata kwa jembe la mkono,wakayaua mashamba uchumi ukafa.
Aliwapokonya ardhi wazungu/waingereza na kuwapa wananchi wazawa! Hilo halikuwa kosa. Ilitakiwa hao wazawa wa tayarishwe kuyahudumia hayo mashamba kitu ambacho haki kufanyika na kusababisha zoezi kutofaulu! Nia ilikuwa njema implementation ndio ilikuwa tatizo.
 
Aliwapokonya ardhi wazungu/waingereza na kuwapa wananchi wazawa! Hilo halikuwa kosa. Ilitakiwa hao wazawa wa tayarishwe kuyahudumia hayo mashamba kitu ambacho haki kufanyika na kusababisha zoezi kutofaulu! Nia ilikuwa njema implementation ndio ilikuwa tatizo.

Raia wa Uingereza anamiliki vipi passport ya zimbabwe?.Wale ni raia halali wa zimbabwe,ndio waliochangia uchumi wa zimbabwe na kulisha nchi za kusini Mwa afrika hadi Tanzania kwa chakula.
Walilima walileta pesa zimbabwe na sio kupeleka Uingereza thus baada ya kuporwa mashamba uchumi wa zimbabwe ukafa na sio uchumi wa Uingereza.
Mugabe ni SAwa tu na wapigania UHURU wengine tu walipigania UHURU wao binafsi na sio UHURU wa waafrika wote thus baada ya UHURU wakawa hovyo zaidi kuliko hata wakoloni wenyewe.
 
Raia wa Uingereza anamiliki vipi passport ya zimbabwe?.Wale ni raia halali wa zimbabwe,ndio waliochangia uchumi wa zimbabwe na kulisha nchi za kusini Mwa afrika hadi Tanzania kwa chakula.
Walilima walileta pesa zimbabwe na sio kupeleka Uingereza thus baada ya kuporwa mashamba uchumi wa zimbabwe ukafa na sio uchumi wa Uingereza.
Mugabe ni SAwa tu na wapigania UHURU wengine tu walipigania UHURU wao binafsi na sio UHURU wa waafrika wote thus baada ya UHURU wakawa hovyo zaidi kuliko hata wakoloni wenyewe.
Wazungu wa Zimbabwe walikuwa na Dual citizenship na ndio maana wengi wali rudi Uingereza!
Kweli walikuwa wakulima stadi; pia kulikuwa na British absentee landlords in Zimbabwe waliomilika ardhi kubwa!
 
Wazungu wa Zimbabwe walikuwa na Dual citizenship na ndio maana wengi wali rudi Uingereza!
Kweli walikuwa wakulima stadi; pia kulikuwa na British absentee landlords in Zimbabwe waliomilika ardhi kubwa!
Lakini walilima kwa manufaa ya zimbabwe na sio kwa manufaa ya Uingereza.
.Walitoa ajira kwa wazimbabwe
.Walilipa kodi zimbabwe
.Walinunua mafuta, vifaa na mashine zimbabwe
.Walilisha zimbabwe.
Bado mantiki ya kuwapokonya watu ardhi wenye kumudu kuzalisha haikuwa sahihi.
Mfano sisi mapori tele yamejaa yatatusaidia nini sisi kwann yasichukuliwe na wenye kumudu Ili wengi wapate ajira.
 
Lakini walilima kwa manufaa ya zimbabwe na sio kwa manufaa ya Uingereza.
.Walitoa ajira kwa wazimbabwe
.Walilipa kodi zimbabwe
.Walinunua mafuta, vifaa na mashine zimbabwe
.Walilisha zimbabwe.
Bado mantiki ya kuwapokonya watu ardhi wenye kumudu kuzalisha haikuwa sahihi.
Mfano sisi mapori tele yamejaa yatatusaidia nini sisi kwann yasichukuliwe na wenye kumudu Ili wengi wapate ajira.
Hoja hapa ni kwamba kuwapa yale mashamba wazawa ilikuwa sahihi kwani Hawa wazungu walitwaa hiyo ardhi kimabavu na ndio maana wenye nchi wakabakia vibarua na sio waajiri!! Kwahio unataka Daima wazimbabwe wabakie vibarua hiyo unayoiota ajira ?
Hivyo hivyo unataka waarabu waje wapewe ardhi walime na watu wetu wawe vibarua sio? Kwanini tusiwawezeshe wananchi wetu ili walime hayo mapori. Vijana wetu wanahangaika hawana ajira na mapori yapo lakini mnataka wageni waje ndio muwape hayo mapori; what is your motivation? Getting 10% from the Arabs?
 
Mobutu Sese seko aliwasahau kabisa waafrika wenzake wa Zaire sasa DRC.

Rasilimali za taifa lake akazitumia kwa ajili ya tumbo lake na mabeberu. Mbaya zaidi hata kifo cha Patrice Lumumba alishiriki ili mradi tu mabeberu wamtumie kuwanyonya waafrika wenzake.

Afrika ina bahati mbaya sana. Kila anapoibuka Kiongozi kama Patrice Lumumba lazima akina Mobutu Sese seko wanajitokeza na kufanya yao ili washirikiane na Mabeberu.

Ipo mifano mingi tu kwa Afrika. Watanzania tukodoe macho.
Chadema ya Lissu na Lema, wako nje ya nchi kwa miaka sasa
 
Hoja hapa ni kwamba kuwapa yale mashamba wazawa ilikuwa sahihi kwani Hawa wazungu walitwaa hiyo ardhi kimabavu na ndio maana wenye nchi wakabakia vibarua na sio waajiri!! Kwahio unataka Daima wazimbabwe wabakie vibarua hiyo unayoiota ajira ?
Hivyo hivyo unataka waarabu waje wapewe ardhi walime na watu wetu wawe vibarua sio? Kwanini tusiwawezeshe wananchi wetu ili walime hayo mapori. Vijana wetu wanahangaika hawana ajira na mapori yapo lakini mnataka wageni waje ndio muwape hayo mapori; what is your motivation? Getting 10% from the Arabs?
Wale ni wazimbabwe wenye asili ya ulaya, wengine wamezaliwa zimbabwe kwa wazazi wenye asili ya Ulaya.Hata hapa Tanzania tunao wazungu wanamiliki pasipoti za Tanzania ambao waliozaliwa Tanzania mfano mmoja wao ni Richard Mabala wa kitabu cha animal farm,na mabara the farmers.
Waliyakuta ni mapori wao ndio waliongia gharama kuyasafisha hadi yakawa mashamba na si kwamba walikuta tayari ni mashamba.
Vijana wa TANZANIA labda wawezeshwe akili ya kulima, nachojua kulima ni nia pesa ufuata baadae, wachina Wana msemo ukitaka kulima usisubiri jembe anza kwa mikono ndipo jembe litakufata.
Kwani vijana wanashindwa vipi kuungana hata watano wakasafishe mapori wapande miti,minazi,miti ya matunda,katani nk kwa muendelezo wa kuzidi kipanua mashamba KILA msimu baada ya miaka 5 wanavuna Wana export nje kwenye market kubwa wakaondokana na umasikini
 
Mama SSH anasonga mbele kujenga nchi iliyoharibiwa vibaya sana na huyo mtu wenu!
Kama mnakereka si na nyie mkazikwe? tatizo lipo wapi?
 
Back
Top Bottom