Mkuu hii nchi ukipata nafasi fakamia hapa uzalendo haufanyi kaziAbdul leo hii tunaambiwa ni bilionea sababu ni mfanyabiashara mkubwa.
Biashara anazofanya hazijulikani.
Na kaanza kufahamika huo ubilionea 2022.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii nchi ukipata nafasi fakamia hapa uzalendo haufanyi kaziAbdul leo hii tunaambiwa ni bilionea sababu ni mfanyabiashara mkubwa.
Biashara anazofanya hazijulikani.
Na kaanza kufahamika huo ubilionea 2022.
Watu hawaelewi ila watu unaofanya nao kazi hawapaswi kujua mambo yako. Kutaneni kazini au baa achaneni huko huko. Mimi ni Nina kijumba Cha kuzugia kabisa siku kama naumwa au Nina tatizo wanakuja kuniona hapo na wanajua ndio kwangu.Kuna jamaa alizindua nyumba yake ya gorofa moja akaalika marafiki wa kazini mwezi uliofata akafanyia bonge la audit na kuachishwa kazi
Pole kwakuwa limekugusa umezoea kuiibia kampuniUna mentalit ya kimaskin sana Mungu akusaidie tu
Brother am very smart that's why nina fanya reasoningUna mentalit ya kimaskin sana Mungu akusaidie tu
Kiswahili kigumu kueleweka itabidi nijufunze kifaransaKwahiyo wewe unataka mfanyakazi wako aishi kwa kutegemea mshahara wako peke yake? Maboss wengine akili hamnaga kabisa
mhn! naogopa nikikambia kuwa unaishi kizamani utachukia! lakini ndio hivyo.Ukiona mfanyakazi wako anamiliki vitu havilingani na mshahara unaomlipa lazima upate wac wac , mfano haiingii akilini kwa mtu anayelipwa laki 3 halafu ananunua Gari la milioni 60 , au anaishi maisha yanayozidi mshahara wake . Waajiri kuweni makini hizo ni Red flag za kupigwa
sisi wote wapigaji ukiwemo wewe pia kama hukuiba fedha na kwenye biashara basi inawezekana uliiba muda hivyo hakuna mwenye hakiMbona mnawatetea sana inamaana wapigaji hawapo ?
Kuna mfanyakazi mmoja wa mshahara kama aliyosema huyo mnoko mwaka jana alinunua used horse+ tela (kichanga) kwa zaidi ya 100m; asee alichunguzwa balaa; ikafahanika alipata mgao kwenyeurithi.Ushakariri kila mtu anaishi kwa kutegemea mshahara tu.
Kuna watu pamoja na ajira wana side hustles zao zinazolipa vizuri, kuna wanaotokea familia bora ambao pamoja na ajira zao bado wanpewa ziada.
Ikiwa huna losses zozote kwenye kampuni yako, hupaswi kujali nini anamiliki mfanyakazi wako. kutoweza kwako kuishi/kumiliki vizuri kusiwe sababu ya kuweka ghilba kwa wengine.
Nimwibie nani sasa?Umezoea kuiba eeehhh
Kiswahili kigumu kueleweka itabidi nijufunze kifaraKwahiyo wewe unataka mfanyakazi wako aishi kwa kutegemea mshahara wako peke yake? Maboss wengine akili hamnaga kabisa
Usiwafundishe watu tabia mbaya , kuwa mzalendoWatumishi wengi wa umma ni wezi,hela wanapata kimagumashi
Anyway nchi hii ukipata upenyo we piga tu nasema we pigaaa tuu
Ila cheza kwa step tu
Ova
Mzalendo wakati hao wanajiita na kusema wao wazalendo wanakwibaa,shauri zakoUsiwafundishe watu tabia mbaya , kuwa mzalendo
Vipi gari yako Leo umewekea mafuta kweli mamy? Ebu njoo inbox nkutumie hela ya mafutaWatu wanakopa Jamani,au wana ndugu zao wanawasaidia, nafanya kazi ya Pesa ndogo lakini wazazi wananipa Gari na pesa. Nakataaje?