Nikutungie story nakujua nduguYaani una ukwasi wa mabilioni halafu unaishi kama digidigi kisa ajira ambayo haikupi hata kipato cha kujenga nyumba ya maana bila kuonekana mwizi?
Jamani mnapotunga hizi stori muwe mnapima uhalisia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikutungie story nakujua nduguYaani una ukwasi wa mabilioni halafu unaishi kama digidigi kisa ajira ambayo haikupi hata kipato cha kujenga nyumba ya maana bila kuonekana mwizi?
Jamani mnapotunga hizi stori muwe mnapima uhalisia.
Chaki bro, nimeiba chaki hadi nkanunua gari...Bro Evelyn Salt wewe huwa unaiba nini?
Cha msingi usiende na Show Off kaziniWatu wanakopa Jamani,au wana ndugu zao wanawasaidia, nafanya kazi ya Pesa ndogo lakini wazazi wananipa Gari na pesa. Nakataaje?
kiukweli kazi wakati mwingine ni kijiwe cha kuzugia ndo maana unaweza usipewe mshahara hata miezi mitatu au mwaka na bado ukaenda kazini.Masanja yupo efm lakini naendesha mav8 nae Huyu vipi? Ya gharama kuliko boss wake majizo