Ukiona mwanamke anakutreat vibaya, ujue wewe ndo umeruhusu akutendee hayo.. Hata ivo usiogope kumuacha mara moja ..... Huo ndio ukweli

Ukiona mwanamke anakutreat vibaya, ujue wewe ndo umeruhusu akutendee hayo.. Hata ivo usiogope kumuacha mara moja ..... Huo ndio ukweli

Mkuu wa ovyo sio vijana tu , tunaona wazee wanavyo honga viunua mgongo vyao wanabaki 0 ,mwisho wa siku tunawazika na stress.
Hao ndio vijana wa hovyo ambao wamezeeka...😂
 
Hauwezi kukubali ndoa then ukakataa 50/ 50 , ni mwanaume asiye na ndoa tu , ana ubavu wa kupinga 50/50.
Pole sana kijana...
By the way, umeoa ama pengine napoteza tu muda hapa🤔🤔
 
Watu wanaishi na wanawake tena sio mmoja ila wamekataa ndoa , kwani ww kwako hyo ndoa inafaida gan?
Ohhhhpppp.......
Upo sahihi kabisa kijana, nilikua sijaelewa sasa nimefaham...😊😊
Basi sawa...
 
Pole sana kijana...
By the way, umeoa ama pengine napoteza tu muda hapa[emoji848][emoji848]
Nina mke zaid ya mmoja ,mpka apo nina vigezo mpka nimepitiliza vya ww kutokupoteza mda.
 
Una miaka 30/35/40 oa mwenye miaka 19/20 mbuluze kidikteta heshima, utii na nidhamu itakuepo hapo akizingua tia makofi mnyooshe.. sio una miaka 25 unaoa miaka 24 au 25 mwenzako na mbaya zaidi awe decent yaan kapigwa msasa unataka muendesha kidikteta umeula wa chuya soon mnaenda kuburuzana mahakamani na kubwagana mazima
mwanamke niliezaa nae amenizidi miaka mitano ila kwenye ubabe huwa nikikasirika anaogopa na kutulia kabisa maana anajua shida iyakayompata akileta fujo
 
mwanamke niliezaa nae amenizidi miaka mitano ila kwenye ubabe huwa nikikasirika anaogopa na kutulia kabisa maana anajua shida iyakayompata akileta fujo
Haitakiwi iwe hivyo wewe umezaa na shangazi yako, lazima siku moja atakutolea uvivu tu pale ukimkuta amekunjwa na mjomba wako
 
Vijana kutwa kucha wanashinda wanaangalia Porn, Wanapiga Nyeto, wamejaa Feminine Ideologies, hawataki kufanya kazi(wanataka kufanya kazi wanazozipenda), Marioo, Chawa, Vijana wa KIUME wananenepa Hovyo n.k

Vijana wa namna hiyo ni lazima wawaogope Wanawake. Na Wanawake wameshajua hilo, hvyo wanawanyoosha.

Kijana utakayesoma Bandiko hili, bado hujachelewa. Learn OR Perish (Jifunze au endelea kubishana mtandaoni)

Hili Bandiko lako Wachache watajifunza na wengine Mazingira yatawafunza zaidi.
Umenena vema kabisa mkuu
 
Mwanaume anatakiwa kuishi na mwanamke kwa misimamo thabiti.
Mwanaume hua hayumbishwi na mwanamke.
Mwanaume hawezi kukubali usawa 50/50 ndani ya nyumba.
Mwanaume anakua dictator aka bandidu.
😳🙄
 
Mungu awabariki wanaume wote ambao mna misimamo ya kiume, tunawapenda sana huu ndiyo ukhalisia..!!

Wanaume wengi mno nowadays hawana tena ile 'manhood' ndani yao, simping culture imewaharibu mno..!!

Carlos usiache kuwaambia ukweli tafadhali inaweza ikawashtua toka kwenye huo usingizi wa pono..!!

Nina hiyo kifaa yangu kwanza akiongea tu kwa mamlaka natii huku inani turn on..!!

Kuweni wanaume bhana, msikimbie nafasi zenu hebu, mnaboa..!!

Yuko wapi huyo jamaa tukachukue somo?
 
Kiasili wanawake wanataka mwanaume dikteta, wao kutawaliwa ujisikia amani na salama zaidi, kuliko demekrasia. Shida huja kwenye malezi, dikteta ni mtu anaetumia nguvu nyingi akili kidogo. SAsa sababu ya malezi hili jambo huwa gumu umelelewa kwenye malezi ya maadili maadili ni matumizi ya akili kuliko nguvu, utaanzaje kumfanyia udikteta mwanamke hali ukupa malezi ya kidikteta.
Jifunze ubabe wewe
 
Back
Top Bottom