Ukiona ndugu na watu wanamdharau Mkeo ujue wewe mwenyewe Wanakudharau

Ndo hivyo kwa ajili ya convince ya watoto unaamua tu kulisukuma, utakuta mwanamke hapendi kuona ndugu wa mume au anawagombanisha! Hapo umekuja kujua her true colours baada ya kuoa? Utafanya nini na vitoto viwili au vitatu ndo hata primary hawajaanza?

Hata wangekuwa watoto sita mwanamke akikosa sifa ya kuwa mke unastahili kumuacha mara moja
 
Baada ya kumtuliza na yeye akakaa na miaka 20 eti??
 

Upendo wa kweli na HAKI Havimruhusu mtu kulazimisha(kubembeleza sana) mapenzi na mahusiano.

Hivi unajua kuwa kuna madhara makubwa kimalezi kuishi na mwanamke aliyepoteza sifa ya kuwa Mke?
 
Upendo wa kweli na HAKI Havimruhusu mtu kulazimisha(kubembeleza sana) mapenzi na mahusiano.

Hivi unajua kuwa kuna madhara makubwa kimalezi kuishi na mwanamke aliyepoteza sifa ya kuwa Mke?
Ni kwel nakubali, japo inategemeana..mwanamke anaweza akapoteza upendo juu yako na asikutake tena ila hawez kuwachukia watoto wake. So atawalea tu
 
Kabisa no one is perfect.
 
Kuna viwango vya kuvumilia, ikiwemo chuki kwa ndugu! Na kikawaida wanawake wengi hawapendi ndugu wa mume, ni asili yao, hivyo tunaishi hivyo hivyo!

Kisaikolojia, mwanamke asiyependa ndugu zako huyo hakupendi.
Vivyohivyo hivyo mwanaume asiyependa ndugu za mkewe huyo hampendi mkewe.

Kuna misconceptions nyingi katika suala la upendo, mahusiano na ndoa.
 
Ni kwel nakubali, japo inategemeana..mwanamke anaweza akapoteza upendo juu yako na asikutake tena ila hawez kuwachukia watoto wake. So atawalea tu

Atawalea vipi watoto ikiwa hakupendi wewe?
Au unazungumzia malezi Mabaya?

Hivi mke kama hakupendi na Hana hisia na wewe, mtahusiana vipi ndani ya nyumba ili watoto wenu wakue wakiona na kujifunza mambo Mema?

Au ndio Ile Baba unadharaulika na watoto wanashuhudia au mama anateswa na watoto wanashuhudia alafu utegemee watoto watakuwa na maadili kisa mnaishi pamoja?

Hizo ni akili za wapi? Au malezi ya wapi?
 
Kwanini swali linalouliza miaka uliyonayo kwenye ndoa unalikwepa kama ukoma ?
 
Do you think ,what does i

Umeongea hisia sana. Anyway, si kila mtu anachukua chukua tu kila kitu bila ku verify source au author. Sasa wewe uko tofauti na mimi na let us not judge this anymore. Unaonaje??
Let us not judge what?

Mwanzoni mwa kitabu 'IF GOD WERE A SPACE ALIEN'. cha Hamilton amesema, I know you may ask who i am, and which credentials i have, to write what i have written, i am your neighbour next door or a man across the bar!.

Alikuwa anamaanisha, muda mwingine unatakiwa kuangalia content bila kujali sana alieandika ni nani.

Kinachoonekana kwako, unajali sana mleta maudhui bila kuzingatia maudhui, and that is a logical fallacy, nyie ndio mnaomeza kila kila kitu kisa Mange kasema.

Unaweza kuniambia ni wapi na kwa mantiki ipi, unasema nimeandika kwa hisia sana?
 
Am done with you man. Fanya mengine
 
Siyo kweli. Kuna watu huwa nasikia "jamaa mtu sana, ila mkewe ni bomu." Au pia "huyu jamaa hafai, mtaani wote hawampendi. Ila mke wake ni mtu wa watu, na watu wanakwenda nyumbani kwake kwa heshima ya mkewe."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…