Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
tatizo la kua na njaa sana asubuh asubuh, halafu unaishi nyumba ya kupanga na unamkopo kausha damu lazima utawaza upotofu tu .Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Watu wanapiga pesa za ummaUkiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Ni mambo ya aibu na kweliInasikitisha sana
Samia anaongoza kwa chawa mpaka upinzani anao.Hivi kati ya Samia na JPM nani alikuwa au ana machawa wengi?
Tusisahau aliyeanzisha mfumo wa uchawa jamani
We mamako aliyekuzaa ni pimbi ndio maana uko hivyo. Bwege kweli.Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Mabwege nyie wivu unawasumbua, Rais wetu ana wapenzi wengi nchi nzima, hakuna cha chawa, chawa wako kwenye nguo zako. Kumpenda rais wetu na kumwuunga mkono siyo uchawa. Kwanza Rais hata hawafahamu.Rais wa sasa ana chawa lukuki mpaka vyombo rasmi vimegeuka kuwa chawa wake
Inaonekana umeachika na una genye.Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Hapa nakuunga mkono kwa 100%...ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
Tena sana sana na hili halina ubishi!Watu wanapiga pesa za umma
Zaidi ya matusi huna akili kabisa kichwani!Inaonekana umeachika na una genye.