Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi shtuka hakuna kiongozi hapo

Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi shtuka hakuna kiongozi hapo

Huu ujinga ukikuwa zaidi kipindi cha mwendazake.
Nchi inaharibika kuna wasen ge kibao wao wanasifia tu.
 
tatizo la kua na njaa sana asubuh asubuh, halafu unaishi nyumba ya kupanga na unamkopo kausha damu lazima utawaza upotofu tu .
Ata Rais tumemuajiri na kumpa nyumba ya bure lakini bado kila siku anatutwisha mikopo ambayo anagawana na Chawa wake ila wewe Chawa mdogo unaambulia makombo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Muanzilishi wa uchawa na upuuzi wa kujipendekeza kwa watawala anajulikana ni jiwe, ambaye ulikuwa ukukataa kujipendekeza kwake unapewa kesi ya uhujumu uchumi,kutekwa na kupigwa risasi sasa mazoea yamekuwa tabia.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kikwete ndiyo alikuwa Bingwa maana Machawa wake wamekula sana Mwewe kwenda ughaibuni!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Unapoona hata mawaziri wanakuwa machawa ujue hilo ni genge la wahuni tu
20231209_105134.jpg
 
Mabwege nyie wivu unawasumbua, Rais wetu ana wapenzi wengi nchi nzima, hakuna cha chawa, chawa wako kwenye nguo zako. Kumpenda rais wetu na kumwuunga mkono siyo uchawa. Kwanza Rais hata hawafahamu.
Yeye mwenyewe kwa kinywa chake alisema :- 'mkinisakama chawa wangu watawajibu' ,wewe ni nani wa kupinga kauli yake?
 
Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.

Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;

....uongozi duni.

....huduma za jamii kulemaa.

....upungufu wa umeme.

....ufisadi kutamalaki.

....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.

....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.

Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Chawa lazima wakae kwenye uchafu, sehemu duni n.k
 
Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.

Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;

....uongozi duni.

....huduma za jamii kulemaa.

....upungufu wa umeme.

....ufisadi kutamalaki.

....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.

....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.

Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Wewe chawa wa marehemu Magufuli wivu utakuua.

Uchawa ni zamu kwa zamu, mulikuwa chawa enzi za DIKTETA mukawa munatuua na kutunyang'anya fedha zetu. Dikteta amekufa na nyie mmebakia na kilio cha mbwa mwizi.

Nchi iko salama mikononi mwa Rais Samia. Changamoto zipo tunakubali lakini hali ya uwazi na uhuru wa kutoa maoni ipo. Uchumi unakua, wafanyakazi wanlipwa mishahara na madaraja yanapanda. Wanafunzi wanapata mikopo, miundombinu inajengwa nchini na amani ipo. Hakuna kutekwa wala kutukanwa kwenye majukwaa.

Asante Mungu kwa kumuundoa Magufuli mapema, maana angekuwapo sasa hivi Tamzania ingekuwa nchi ya HOVYO
 
Ujue najaribu kuwaza hapa Musiba, Mnyeti, yule naibu waziri wa afya, makondakta, sabaya, chalamila alafu nachukua kamusi natafuta maana ya neno kujielewa nachoka kabisa na hii comment yako mkuu.
Machawa wa Magufuli walikuwa wanajielewa na mambo yalikuwa yanaenda,uyu Bibi hapana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.

Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;

....uongozi duni.

....huduma za jamii kulemaa.

....upungufu wa umeme.

....ufisadi kutamalaki.

....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.

....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.

Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Uzushi na facts Huwa haviendi pamoja ,no way Chadema mtapata madaraka Kwa uzushi.

Kazi inaendelea 👇

View: https://youtu.be/ftyRqV5GUFI?si=xI4COQUna4E6j_zI
 
Mabwege nyie wivu unawasumbua, Rais wetu ana wapenzi wengi nchi nzima, hakuna cha chawa, chawa wako kwenye nguo zako. Kumpenda rais wetu na kumwuunga mkono siyo uchawa. Kwanza Rais hata hawafahamu.
Jibu hoja wewe chawa
 
Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.

Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;

....uongozi duni.

....huduma za jamii kulemaa.

....upungufu wa umeme.

....ufisadi kutamalaki.

....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.

....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.

Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Halafu chawa wenyewe sasa akina nape , wauza madawa ya kulevya , wezi wahujumu uchumi , MAFISAD ndo utajua aina ya kiongozi
 
Back
Top Bottom