Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
UgandaUnazungumzia Kenya or Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UgandaUnazungumzia Kenya or Tanzania?
SWALI zuriKatika dunia hii ambayo ndege aliyotumia rais inajulikana ni 5H-TCR na unaweza kuifuatilia online kuona iko wapi, serikali inawezaje kuficha nyendo za rais?
Na kwa nini serikali katika nchi ya kidemokrasia isiwe wazi kuhusu nyendo za rais?
Watz hamna akili,mnaombea kiongozi wenu afe? Kisa tu sio wasio wa dini yako,Weka uzi, jambo kama lime au litatokea hakuna mtu wa kuzia isipokuwa Mungu...
Ally kibao , Soka , Sativa etcTanzania hatajawai pata rais mpenda haki kama samia na rais mskivu kama samia ,
Nan kataja dini ? Kwan Samia ndo rais wa kwanza kuwa na dini? kikwete na Mwinyi ni dini ipi ? Huyo mama yenu anatuletea udini, anapokosolewa yeye anajificha nyuma ya dini , watu wanamkosoa Rais na sio Mama Abdul au Hadjati au HustaadhatWatz hamna akili,mnaombea kiongozi wenu afe? Kisa tu sio wasio wa dini yako,
Hameni nchiNan kataja dini ? Kwan Samia ndo rais wa kwanza kuwa na dini? kikwete na Mwinyi ni dini ipi ? Huyo mama yenu anatuletea udini, anapokosolewa yeye anajificha nyuma ya dini , watu wanamkosoa Rais na sio Mama Abdul au Hadjati au Hustaadhat
Nchi ya Wagagagigikoko.Unazungumzia Kenya or Tanzania?
Kuna kitu sijaelewaWeka uzi, jambo kama lime au litatokea hakuna mtu wa kuzuia isipokuwa Mungu...
Atahama Samia kwani siyo kwake hapa.Hameni nchi
Ni product ya jiwe,yule mzee basi tuYani Tale kuna muda akikaa hata yeye mwenyewe haamini kama ni mbunge walai bilai watalai
Hii code ngumu kumeza, fungueni basi twende sawaIla nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
😷😷🙄Nyingine wanavujishaga makusudi
Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa
Nzito mno!
Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)
Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
Nimekaa paleeee ...Hakuna kitu kama hicho
Yuko fiti
KWAHIYO TUTEGEMEE?Safari nzima ya mheshimiwa ya huko nje ya nchi tangu iko kwenye mipango ya awali kabisa ilivuja.
Jambo la hatari sana, yaani mpaka usafiri watakaotumia, mpaka orodha ya akina nani watakwenda.
Kweli kabisa. Kwani wakiniiga Mimi nilivyokataa U-Head boy shule kuna ubaya gani?😄Exactly.... Sio mtu anadandia TU.. na waafrika sijui tupoje, mtu kama huna maono na hujui utafanya Nini (our current) kwani lazima ukalie kiti??? ... Unasema TU jamani asanteni ila kwa hii nafasi hapana........
Hapana, hatuombeani mabaya.KWAHIYO TUTEGEMEE?
Wakitumwa then wakikataa kitatokea nini?Mimi ni Mzalendo haswaa,ila kuwa hao unaowataja ni Wazalendo na wanaumizwa kuona mchwa wanaliharibu Taifa nao ni wanafiki Wakubwa sana.
Ni hao hao wakitumwa na huyo huyo kwenda kuumiza Wazalendo wanaolitetea taifa wanakuwa kimbelembele kwenda kutekeleza amri hizo haramu. Unashangaa wanakuwa na speed kali kwenda kuwaumiza Wapinzani ambao hawana athari mbaya kwa Usalama wa Taifa letu, bali wanatetea maslahi mapana ya taifa au wanatafua nao mkate wa kila siku kwa style hiyo. Hao Wazalendo waache unafiki.