Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ni kwamba hata miaka 80 hutofikishaMwasala ya uzalendo tuwaachie wenyewe
Kwa diaspora mimi, safari ya Tanzania ni kuja kutambika tu kwenye makaburi ya wazazi.
Vinginevyo siwezi ushi Tanzania miaka 800.
Anaweza kuchukua Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Spika au Jaji Mkuu kwa miezi mitatu.Hii katiba mtu aliyeweka kipengele Cha makamu ambaye hakupigiwa kura arithi urais ndio alituweza....
Aidha uchaguzi urudiwe au mshindi wa pili achukue nchi ikitokea rabsha...
KATIBA MPYA TANZANIA NI LAZIMA
Mimi na wewe hatujui hilo (mungu ndio, muamuzi).Uzuri ni kwamba hata miaka 80 hutofikisha
Exactly.... Sio mtu anadandia TU.. na waafrika sijui tupoje, mtu kama huna maono na hujui utafanya Nini (our current) kwani lazima ukalie kiti??? ... Unasema TU jamani asanteni ila kwa hii nafasi hapana........Anaweza kuchukua Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Spika au Jaji Mkuu kwa miezi mitatu.
Uchaguzi ni muhimu ufanyike ndani ya miezi mitatu ili kila mgombea aeleze sera zake. Akichaguliwa tutajua anasimamia nini, maono yake, vipaumbele vyake na anatupeleka wapi.
Muda mrefu hatuna uongozi kwenye hili Taifa.Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.
Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.
Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.
Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.
Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
SijajuaKuna nini tena kimevuja?
Duuu haya maandishi niliyasoma kwa Tito Magoti kule X,na nikashangaa neno "goes" na kingereza changu hiki cha shule za kata nikaelewa kama keshakata kamba hiviSamia Suluhu Hassan goes down as the most incompetent and insecure President in Tanzania’s history.
Babuuh Tele yule bwege huwa anapiga picha anarusha kwa wana.Safari akiwemo Babu Tale hakunaga Siri hapo 🐼
Umenikumbusha akiwa Tanga,huku akijua jioni anatangaza tukioMafua, kidogo na Homa za majira ya hali ya hewa, that is very common to any human being, anaendelea vizuri sana.
👍👏🤝Katika dunia hii ambayo ndege aliyotumia rais inajulikana ni 5H-TCR na unaweza kuifuatilia online kuona iko wapi, serikali inawezaje kuficha nyendo za rais?
Na kwa nini serikali katika nchi ya kidemokrasia isiwe wazi kuhusu nywndo za rais?
👌👍👏🤝🙏Taarifa kuvuja maana yake ni nini?
Taarifa gani?
Habari za safari za rais, au afya ya rais, zinatakiwa ziwe wazi, wananchi wana haki ya kujua rais yuko wapi, anafanya nini.
Hili ni jambo la kawaida katika nchi za kidemokrasia.
Sasa tunaweza kuona taarifa zinavuja kwa sababu hatujazoea serikali kuwa wazi.
Lakini, suala la muhimu zaidi ni kuwa, kwa nini taarifa hizi hazitolewi kwa uwazi na serikali?
Kama Ikulu haitoi taarifa, na kupata taarifa hizi ni haki ya wananchi, kwa nini Ikulu haitoi taarifa hizi ambazo ni haki ya kikatiba ya wananchi?
Mh,hope safari hii hutaingia chaka kama kwa DB kuhusu sumu ingawaje ilikuwa propaganda yenye lengo fulani!Je,hii nayo ni propaganda??Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Huku unaitajika uwe na jicho la 3.Wengine hatujakuelewa.
OkSatifa siyo binadamu? Mzee Kibao siyo binadamu? Mimi huwa nina ubinadamu sana na sipendi watu wengine wapate majanga ila kama wao hawathamini uhai wa wengine mh...