Ukiona siri za jumba jeupe zinavuja, basi hiyo ni taa nyekundu kwa kiongozi wa nchi

Ukiona siri za jumba jeupe zinavuja, basi hiyo ni taa nyekundu kwa kiongozi wa nchi

Ni dhambi kubwa kuzushia kifo watu

Lakini pia kifo kikija, hakina namna nyingine zaidi ya kujulikana kwa kila mtu, maana hakifichiki, kikikuondoa, macho ya kila mtu yatashuhudia kuwa wewe haupo tena katika hali ya uzima, na kwamba wewe ni mfu, na watu wasipoweka wazi hilo, bado mfu ataoza tu!
"Kifo ni kifo tu"

SSH 2024.
 
Nyingine wanavujishaga makusudi

Ila kuna moja nzito na I verify kwanza hapa

Nzito mno!

Nilitaka nichape Uzi Ila nikagundua kuna code ziko wazi sana nikauweka pending (Draft)

Ila nikiwaza CHATU kufa wakifuatana si vema sana!
Britanicca
CHATU WALA WATU WAFE TU HIVYOHIVYO KWA KUFUATANA TUENDELEE KUBUBUJIKWA KWA FURAHA NA AKINA MWAASHAMBWA HUKU.
 
Naamini sana Wazee na Wakongwe wa CCM hawawezi kubali Tena kuongozwa na "?????' ni swala la mda tu kutaanza kuchangamka
Si juzi Mzee mwenzao was kutabasam alisema!!?

"Ukitaka nchi itulie sikiliza wazee"!japo sio kila mzee ni muasisi wa chama!!

Nadhani kauli Ile ilikua utangulizi wa hizi sintofahama na tetesi hizi zinazoendelea!!

Mzee asingeanza kueleza hayo yote Bure tu,lazima alijua samaki kameza ndoano muda wowote kitalipuka!!!

Sasa ilisubiriwa uchaguzi wa serikali za mitaa uanze ndio hii sequence and series ianze!!?
 
Back
Top Bottom