Ukiona siri za jumba jeupe zinavuja, basi hiyo ni taa nyekundu kwa kiongozi wa nchi

Ukiona siri za jumba jeupe zinavuja, basi hiyo ni taa nyekundu kwa kiongozi wa nchi

Samia Suluhu Hassan goes down as the most incompetent and insecure President in Tanzania’s history.
But, this is what's most disconcerting; to see the amount of energy and effort being expended to ensure that she remains in power by all means necessary; even at the expense of people's lives, come November 2024 and thereafter in 2025.
 
Watz hamna akili,mnaombea kiongozi wenu afe? Kisa tu sio wasio wa dini yako,
Waislamu mmezidi upumbavu hadi mmefikia kutetea shoga au fisadi kisa ni dini yenu cheki yule polisi choko wa zanzibar mlivyo mgombea....kwa mujibu wa uislamu ni ukafiri kuongozwa na mwanamke ila nyinyi mnamtetea awe kiongozi .....majuzi kanajisi hadi alkahaba ya mtume kwa kuingia na mabasha na nyote mkashangilia kama mazuzu...
 
Mimi hizo kazi nilishazikataa. Kazi za kutumwa kama Mbwa;kama huyo, piga,teka yule na wewe unatii bila kulezwa kinagaubaga huyo mtu kweli anastahili kufanyiwa hayo. Nilishakataaaa.

Maana mwisho wake ndo unatumwa kama akina Nyundo na wenzake. Mtu una akili yako unakubalije ujinga kama ule?
Aisee hata Mimi. Yaani Una bando GB kibao lakini eti itabidi ujizime data🤣🤣🤣🤣
 
Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.

Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.

Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.

Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.

Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
Mama alionekana visiwa vya Barbados akipewa tiba
 
Jamanj si tuanze kuimba parapanda?
Ile ya Bashite, aka Makonda mbona haikupanda?
Huyu ni kawaida yake kwenda kujificha mahali fulani akiandaa uchafu wa kulifanyia taifa hili, kama alivyo fanya kule Dubai, na bandari zote za Tanganyika zikawa zime nadishwa kwa DP World!

Wakati TAMISEMI wapo kazini kuhakikisha njia zote za kuhakikisha uchafu uanao andaliwa sasa kuendelea, waTanzania wanalazwa akili kujishughulisha na njama kama hizi za kuwasahaulisha; huku uchafu ukiendelea kuandaliwa huko mafichoni.
 
Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.

Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.

Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.

Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.

Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.

Hakuna mtu karne hii mwenye akili timamu anayeweza kuhatarisha usalama wake kwa ajili ya kakundi kadogo ka watu walioshiba mali za umma.

Machawa ndio bado wanatumia ujinga ujinga kuweza kupata maslahi maana uchawa sio taaluma wala Kitengo rasmi zaidi ya upumbavu.

Nchi inapelekwa kubaya na Mchengerwa bila sababu za msingi.

Hivi tunawaambia nini watoto wadogo kuhusu uadilifu na uzalendo kwa aliyoyaasisi Mchengerwa.

Ndio Mchengerwa atamfurahisha Mama mkwe wake na baadhi ya wezi ndani ya CCM lakini wetu wenye akili timamu na wenye hofu ya Mungu kamwe hawawezi kukubaliana na aliyoyaratibu katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa. Mchengerwa ataliacha taifa hili kwenye Chuki kubwa sana miongoni mwa wananchi tena wanaokaa kwenye mitaa pamoja. Lakini pia kuna mahali wananchi walianza kuwaelewa polisi wanapohubiri madhabahu ni na mitaani kuwa jamii ishirikiane nao kama polisi jamii. Sasa kwa hali ilivyofanywa na Mchengerwa ni nani atawaelewa polisi wakihubiri habari ya haki na uadilifu na jamii kushirikiana na dola kutoa taarifa za uhalifu.?
Bila shaka Mchengerwa ameaharibu kila jema lililokuwa limefanywa na serikali ya awamu ya Tano inayojiita ya sita ?

Magufuli aliharibu uchaguzi ila hakutoa rushwa za pikipiki na pesa zaidi ya kutumia pesa kwenye ujenzi wa miundo mbinu.
Sasa awamu hii ardhi inauzwa na uchaguzi unaharibiwa
 
Hakuna taatifa nzito hapa duniani labda tupate kitu kigeni nje ya dunia yetu hiyo ndio itakuwa taarifa nzito!.
muda wowote mtu yoyote unaweza ukasikia amelamba ardhi kitu ambacho ni kawaida kete ya uhai kila mmoja atairudisha tu!.

labda mniambie annunaki wanakuja duniani ama viumbe vya ajabu vimeingia dunia hiyo ndio taarifa nzito!
Usinge weza kuyasema haya kama ungejuwa 'CHAWA' na wengine wote wanao ishi kwa kumtegemea huyo mtu mmoja anaye shikilia njia zinazo wawezesha kuishi maisha wanayo yaishi sasa hivi. Kwa hawa hiyo "taarifa" unayo ona wewe si taarifa, kwao ni kila kitu!
 
Waislamu mmezidi upumbavu hadi mmefikia kutetea shoga au fisadi kisa ni dini yenu cheki yule polisi choko wa zanzibar mlivyo mgombea....kwa mujibu wa uislamu ni ukafiri kuongozwa na mwanamke ila nyinyi mnamtetea awe kiongozi .....majuzi kanajisi hadi alkahaba ya mtume kwa kuingia na mabasha na nyote mkashangilia kama mazuzu...
Wai milembe bibie
 
Mwasala ya uzalendo tuwaachie wenyewe

Kwa diaspora mimi, safari ya Tanzania ni kuja kutambika tu kwenye makaburi ya wazazi.

Vinginevyo siwezi ushi Tanzania miaka 800.
Hii ni haki yako mkuu 'Mayor'; sasa sisi wengine ambao Tanzania ndiyo kila kitu tuache tupambane wenyewe. Hatutakata tamaa.

Kumbuka. Tanzania siyo mtu, wala siyo kiongozi, chama, dini, kabila, au kundi lingine lolote.

Naamini Tanzania itadumu milele, na itakuwa nchi yenye hadhi na heshima kubwa baina ya mataifa mengine duniani.
 
Anaweza kuchukua Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Spika au Jaji Mkuu kwa miezi mitatu.

Uchaguzi ni muhimu ufanyike ndani ya miezi mitatu ili kila mgombea aeleze sera zake. Akichaguliwa tutajua anasimamia nini, maono yake, vipaumbele vyake na anatupeleka wapi.
Kwani unaamini utaratibu unge kuwa hivyo Samia asinge shinda?
Na kama angeshinda huo uchaguzi, pangekuwepo na tofauti gani kati ya Samia huyu na yule aliyeshinda uchaguzi?

Maoni yangu ni kwamba, tatizo ni kubwa zaidi ya kutegemea tu huo uchaguzi wa mrithi wa madaraka.
 
Back
Top Bottom