Ukiona siti iko wazi muda mrefu ulizia kabla hujaikali, yawezekana kuna sababu inakimbiwa ✍️

Ukiona siti iko wazi muda mrefu ulizia kabla hujaikali, yawezekana kuna sababu inakimbiwa ✍️

Ndo maana maandiko hayarusu sex before marriage ni kwa faida yako ili usiingie mkenge maana ngono uleta upofu.
Ngono tu kama hakuna mpango wa ndoa.
Hata hivyo siyo sababu pekee toshelezi mkuu.

Sababu nyingine ni kumkinai mapema mchumba na kuona: 'hivi gharama zote ninazolazimika kutoa ni kwa ajili ya hiki', mtu anaanza kujizungusha hadi inashindikana.

Na kuna mambo mengine madogo madogo yasiyostahili hata kusemwa ama kuandikwa hapa.
 
Hata hivyo siyo sababu pekee toshelezi mkuu.

Sababu nyingine ni kumkinai mapema mchumba na kuona: 'hivi gharama zote ninazolazimika kutoa ni kwa ajili ya hiki', mtu anaanza kujizungusha hadi inashindikana.

Na kuna mambo mengine madogo madogo yasiyostahili hata kusemwa ama kuandikwa hapa.
Pana mke na sex partner kama ulitafuta mke huwezi mkinai
 
Pana mke na sex partner kama ulitafuta mke huwezi mkinai
Dah, una umri gani😀😀, mkuu ngoja nisitishe mjadala huu kwenye media.

Ujue nini, kila nikitaka kutandaza points zangu kukufafanulia vizuri hapa naona ni kama nitaeleza matusi matupu, ninahisi aibu miye.
 
Dah, una umri gani😀😀, mkuu ngoja nisitishe mjadala huu kwenye media.

Ujue nini, kila nikitaka kutandaza points zangu kukufafanulia vizuri hapa naona ni kama nitaeleza matusi matupu, ninahisi aibu miye.
Okay wahi ibadani kawe
 
Mimi sitaki aitunze aniletee niendelee kuishi nayo! Kitu sitaki kusikia ni Mtu kunambia mpaka nimuoe ndo nionje
Mambo ya kuninyima K hadi ndoa sijui wanawazaga nini, utafikiri waliomla mwanzo walimuoa, kama ni bikra sawa ila kama ni break pumbu hapana, mbona wasiomuoa kawapa afu mi nitaemuoa aninyime?
 
Dah, una umri gani😀😀, mkuu ngoja nisitishe mjadala huu kwenye media.

Ujue nini, kila nikitaka kutandaza points zangu kukufafanulia vizuri hapa naona ni kama nitaeleza matusi matupu, ninahisi aibu miye.
Nipe mie hayo madini ya matusi PM, nataka nijifunze, hayo unayosema hayafai kuandika hapa ndo nayataka.
 
Ni kweli, niliingia kwenye daladala nikakuta siti nzuri tena ya dirishani ipo wazi, nikaikimbilia, mrembo mmoja akanitonya "mzee, hapo panavuja " nilishangaa ni kwanini siti ni wazi.
 
Sisi vijana wa zamani tulikuwa tunajua kuwa makalio makubwa yanaashiria ''huyu hana akili'', hivyo inapofikia suala la kuoa sifa moja tuliyokuwa tunaangalia ni ''mwanamke asiye na makalio makubwa''.
Nowdays sisi tunaingia kwenye ndoa na macho na hakika ndoa zinatutoa macho.
 
Mambo ya kuninyima K hadi ndoa sijui wanawazaga nini, utafikiri waliomla mwanzo walimuoa, kama ni bikra sawa ila kama ni break pumbu hapana, mbona wasiomuoa kawapa afu mi nitaemuoa aninyime?
Mi mdada akinambia mpaka ndoa nahisi kama amenionesha dharau ya Hali ya juu sana
 
Mambo ya kuninyima K hadi ndoa sijui wanawazaga nini, utafikiri waliomla mwanzo walimuoa, kama ni bikra sawa ila kama ni break pumbu hapana, mbona wasiomuoa kawapa afu mi nitaemuoa aninyime?
Ninacheka sana kutokana na maelezo yako mkuu☺😀🤣🤣😁😇.

Wewe uliyetangaza nia hautakiwi kabisa kuomba wala kukubaliwa kugewa.

Ndonikasema nitapata muda wa kuja pm nikufafanulie.

Hilo nitakalokwambia wanawake huwa hawalijui ndiyo maana wengine hujirahisi kugawa uroda kwa wachumba zao na kupelekea uchumba kuvunjika ama ile muhu ya kufuatilia kushuka ama kupotezea suala hilo mazima.

Hapo huwa ni kuuza mechi ama tuseme kucheza mchezo wa pata potea.
 
Mambo ya kuninyima K hadi ndoa sijui wanawazaga nini, utafikiri waliomla mwanzo walimuoa, kama ni bikra sawa ila kama ni break pumbu hapana, mbona wasiomuoa kawapa afu mi nitaemuoa aninyime?
Ama nikupe mfano wa kusubirishia pm yangu:

Wewe una ndoto ya kumiliki gari aina ya Harrier, ikatokea jamaa analo anataka kuliuza, kisha akakupa ofa ulitembelee kwanza miezi miwili ili uone utendaji wake.

Ulipofika na kuanza majaribio, ukagundua kidogo linachemsha, tatizo linalorekebishika, kabla muda wa majaribio haujaisha akatokeza jamaa mwingine akakutangazia kuwa ana RAV4 New model pamoja na KRUGER anaziuza, bei ni sawa ama chini kidogo ya Harrier hiyo ya ndoto yako.

Swali hapo: je hauwezi hata kuziangalia hizo gari mbili kwa sababu tayari una gari ya ndoto yako ambayo haujailipia, au utapenda kuangalia na hizo pia ili kama moja wapo ikikupendeza zaidi ubadili maamuzi wa kununua Harrier?

Je ukibadili mawazo juu kwa ju, huyo mwenye Harrier utamueleza nini?

Kifupi mkuu hautakiwi kupewa ujaribishe kitu unachotaka kumiliki, sababu dosari za kufanya ubadili maamuzi huwa hazikosekani.
 
Ama nikupe mfano wa kusubirishia pm yangu:

Wewe una ndoto ya kumiliki gari aina ya Harrier, ikatokea jamaa analo anataka kuliuza, kisha akakupa ofa ulitembelee kwanza miezi miwili ili uone utendaji wake.

Ulipofika na kuanza majaribio, ukagundua kidogo linachemsha, tatizo linalorekebishika, kabla muda wa majaribio haujaisha akatokeza jamaa mwingine akakutangazia kuwa ana RAV4 New model pamoja na KRUGER anaziuza, bei ni sawa ama chini kidogo ya Harrier hiyo ya ndoto yako.

Swali hapo: je hauwezi hata kuziangalia hizo gari mbili kwa sababu tayari una gari ya ndoto yako ambayo haujailipia, au utapenda kuangalia na hizo pia ili kama moja wapo ikikupendeza zaidi ubadili maamuzi wa kununua Harrier?

Je ukibadili mawazo juu kwa ju, huyo mwenye Harrier utamueleza nini?

Kifupi mkuu hautakiwi kupewa ujaribishe kitu unachotaka kumiliki, sababu dosari za kufanya ubadili maamuzi huwa hazikosekani.
Mfano halisi kabisa
 
Back
Top Bottom