Ukiona siti iko wazi muda mrefu ulizia kabla hujaikali, yawezekana kuna sababu inakimbiwa ✍️

Ukiona siti iko wazi muda mrefu ulizia kabla hujaikali, yawezekana kuna sababu inakimbiwa ✍️

Ama nikupe mfano wa kusubirishia pm yangu:

Wewe una ndoto ya kumiliki gari aina ya Harrier, ikatokea jamaa analo anataka kuliuza, kisha akakupa ofa ulitembelee kwanza miezi miwili ili uone utendaji wake.

Ulipofika na kuanza majaribio, ukagundua kidogo linachemsha, tatizo linalorekebishika, kabla muda wa majaribio haujaisha akatokeza jamaa mwingine akakutangazia kuwa ana RAV4 New model pamoja na KRUGER anaziuza, bei ni sawa ama chini kidogo ya Harrier hiyo ya ndoto yako.

Swali hapo: je hauwezi hata kuziangalia hizo gari mbili kwa sababu tayari una gari ya ndoto yako ambayo haujailipia, au utapenda kuangalia na hizo pia ili kama moja wapo ikikupendeza zaidi ubadili maamuzi wa kununua Harrier?

Je ukibadili mawazo juu kwa ju, huyo mwenye Harrier utamueleza nini?

Kifupi mkuu hautakiwi kupewa ujaribishe kitu unachotaka kumiliki, sababu dosari za kufanya ubadili maamuzi huwa hazikosekani.
Kwahiyo ndo ninunue mbuzi kwenye gunia? Nikikuta kakeketwa je.
 
MPELELEZE KABLA HUJAANZA NAYE MAHUSIANO ILA ASIJUE KAMA UNAMPELELEZA ✍️


Wajuvi husema ukiona siti haikaliwi usikuikurupikie bali peleleza kwa kina kwanini inakwepwa? Ukijua sababu ndio jipime kweli utaweza kuikalia hiyo siti bila kuathirika?


Sababu zilizokimbiza wengi hata wewe zinaweza kukukimbiza kwa sababu kuna watu inafaa wajivumilie wao wenyewe tu sasa ukijifanya bingwa wa huruma au wa kuvumilia kila kitu utajikuta kwenye mateso na mwishowe kudhurika.

Sio vibaya kumpeleleza kabla hujaanza naye safari ila jitahidi kwa 100% asijue kama unampeleleza kwa sababu akijua tu mbali na kujisikia vibaya ila anaweza kujipa uhusika kwa muda ili umuone ndio yule unayemtafuta ilihali sio.

Mpeleleze umjue kwa sehemu kwa sababu huwezi kumjua kwa 100% ila umjue kwa mambo ya msingi kisha upime na wewe ulivyo utamudu?

Ukiacha mengi uyajue mbele ya safari utakuja kuyajua tayari muda umepotea na pengine utashindwa tena kuanza upya bali ukaamua kumvumilia kwa sababu tu huna pakwenda.


Tuko kwenye zama za maigizo mengi kuliko uhalisia hivyo ukijichanganya tu utakutana na MUIGIZAJI atakayepoteza muda wako.


Kuna mabadiliko yanakuja katikati ya safari haya ndio unaweza mpeleleza mtu na usiyajue ila baadaye tu ukaanza kuona tabia mpya hasa pale mtu anapopta pesa au wadhifa ndio huwa kama kichocheo cha tabia zake fiche au ulimbukeni, hapo panahitaji nguvu kubwa kumjua mtu kwenye nyakati zake tofauti anakuwaje? Kupitia maelezo yake unaweza kunfahamu kwa sehemu.


TANBIHI: Asijue kama unampeleleza, zingatia sana hilo.

Mwanasayansi Saul kalivubha.

Mitandaoni kwa majina ya fikia ndoto zako.

Kuamini kuwa umepeleleza vya kutosha na kujiaminisha kuwa siti ipo salama, ujue umeliwa.

Kimsingi, ukishakalia siti, ujue ndio kwanza jitihada za upelelezi na ulinzi wa siti uboreshwe mara 100th.
 
Dah, una umri gani😀😀, mkuu ngoja nisitishe mjadala huu kwenye media.

Ujue nini, kila nikitaka kutandaza points zangu kukufafanulia vizuri hapa naona ni kama nitaeleza matusi matupu, ninahisi aibu miye.
Matusi we nani anakujua humu toa somo watu wapate shule
 
Mnajiendekeza tu bwana, mbona inawezekana sana tu.
We jibu tu hvo Kwa sababu mtoto wa kike ukikiri kwamba huwezi kuishi nazo watakuona wale wale, lakini kiuhalisia unajua kabisa ukikaza sana miezi miwili baada ya hapo kisaikolojia unakua umevurugika mwili unahitaji kupasha kidogo
 
We jibu tu hvo Kwa sababu mtoto wa kike ukikiri kwamba huwezi kuishi nazo watakuona wale wale, lakini kiuhalisia unajua kabisa ukikaza sana miezi miwili baada ya hapo kisaikolojia unakua umevurugika mwili unahitaji kupasha kidogo
Hamnaaaa, inawezekana sana tu.
 
Kwani waliokeketwa hawaolewi mkuu?
Hautakiwi kuijua siri ya mtungi mpaka uwe kata.
Siwataki mimi, nilikutana na mmoja kafannyiwa FGM, mpaka namkojoza nilifanya kazi kubwa mno, kazi ambayo kwa demu wa kawaida angekojoa mara mbili kwa mpigo. Unaweza Kesha mzee
 
Siwataki mimi, nilikutana na mmoja kafannyiwa FGM, mpaka namkojoza nilifanya kazi kubwa mno, kazi ambayo kwa demu wa kawaida angekojoa mara mbili kwa mpigo. Unaweza Kesha mzee
🤣🤣🤣
 
Bwana wee mkitaka oeni msipopotaka acheni.. siti sijui nini aah vinachosha
 
Back
Top Bottom