Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
🚮🚮Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2.Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3.Ukifanya hharusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
VIjana hao Wasamehe tu Mkuu😅😅
Ahahaha 🤣 🤣 🤣 hapo umenigusaongeza, ukikopa mkopo bank ili ujengee nyumba yako ya kwanza, umekwisha.
Huko kwingine sijakuelewa ila hapa nimekuelewa Mungu atuepushie isee!4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Sasa suluhu ni nini?Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Kote utaelewa mkuu.Huko kwingine sijakuelewa ila hapa nimekuelewa Mungu atuepushie isee!
Sidhani, watu hawana pesa za kujenga kwa mkupuo, mbona wengi tu wamejenga kwa njia hiyo.ongeza, ukikopa mkopo bank ili ujengee nyumba yako ya kwanza, umekwisha.
Tena umekufa kabisauna familia, hata kama una akiba, ila hauna marafiki kadhaa wa moyoni, mlioshibana, mnaoweza kufichiana siri na aibu, unaoweza kuwaomba pesa ya harakaharaka akakupatie bila kukuuliza maswali, umekwisha.
Una familia, hata kama una akiba, ila hauna marafiki kadhaa wa moyoni, mlioshibana, mnaoweza kufichiana siri na aibu, unaoweza kuwaomba pesa ya harakaharaka akakupatie bila kukuuliza maswali, umekwisha.
Mbona Serikali inakopa kulipa mishahara.....imekwiashaKuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
I agree,its 2024 maisha yamebadilika na sababu ubepari ndio unaotawala dunia na ndio sisi watanzania tunauendea kwa kasi inabidi tujibadilishe tabia zetu na mienendo yetu ya maisha kuendana na kasi ya technology inayochochea ubepari zaidi. Mtoa mada kaongea ukweli kabisa na ila hata ukifanya vitu hivo maisha hayaishi wala hujakwisha,utajifunza na kuadopt kama mwerevu.